Hivi huyu boko bado yupo?
Mama kashiba kweli ndio akasema hivyo, hajui kuwa hizo ngoma za uswazi ni kiliwazo cha maisha magumu ya mamilioni ya watu masikini Tanzania.
mmh...huyu mwandishi wa hii post alikosa kabisa cha kuandika. hata kama amelipwa atakuwa amelipwa sh ngap kwa kuandika urojo kama huu? ingefaa watu wawe wanapimwa akili zao kabla hawapost mataka taka kama haya.mnazipa server mzigo wa bure tu maskin...na nyie mods mnalala sana mnapoacha thread kama hizi....
mmh...huyu mwandishi wa hii post alikosa kabisa cha kuandika. hata kama amelipwa atakuwa amelipwa sh ngap kwa kuandika urojo kama huu? ingefaa watu wawe wanapimwa akili zao kabla hawapost mataka taka kama haya.mnazipa server mzigo wa bure tu maskin...na nyie mods mnalala sana mnapoacha thread kama hizi....
Siku zote alikuwa wapi?mzushi huyo
Mama kashiba kweli ndio akasema hivyo, hajui kuwa hizo ngoma za uswazi ni kiliwazo cha maisha magumu ya mamilioni ya watu masikini Tanzania.
Ngoma za kudhalilisha sio utamaduni wa mwafrika
Hiyu si alimuozesha mjuu wake wa kiume kwa dada yake?
tajiri itakuwa vigumu kuingia mbinguni haina maana maskini lazima aingie
Akichangia hoja ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Watoto Bungeni leo; ameomba kwa uchungu, Watanzania kukemea ukeketaji, ngoma za kudhalilisha kama vile kangamoto na nyinginezo na upigaji wa wanawake!
In fact, inashangaza jinsi ngoma hizi za ovyo zinavyoshamiri Dar, inashangaza ni kwanini serikali kupitia wizara hii hawakomeshi ngoma za ovyo kama hizi! Kule Boko Beach kuna ngoma ya ovyo kabisa huchezwa kila wikiendi, viongozi wa serikali ya mtaa hawaoni?