mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
Mkuu kweli jeneza kavu lizikwe kanisani? mama kama yule hata angezikwa usiku ukweli hauwezi kufichwa
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Niambie Umeona ndani ya jeneza, halafu aisee kuan mazee mmoja anaapa kabisa. Walokole hapana aiseee tunawapata kwa uongo ila hadi hili.. Wahumini wataendelea kwenda kuambukizana na kufa hawawajali.. mimi na watu wa area tupo hatujashangaa uongo wao bali ulokole wao