Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Siri ya jeshi.
Hapa sasa ndipo Serikali wanapo anzia kutupiga chenga .
Siri ya jeshi.
Nina wasiwasi km jeneza haliko tupu au lina picha zake tu,duniani hakuna taasisi/MTU muingo kushinda serikali..
Sent using Jamii Forums mobile app
wapo 13 ukijumlisha mpigapicha na derevaWanaume saba (7) na wanawake wanne (4). Jumla hawazidi kumi, Polepole umesikia hesabu za shule zenu za kata?
Umemjumlisha mpiga picha aiseeKwenye picha mbona wapo watu 11?
Hivi kuna msiba wowote kwa wakati huu ambao serikali haihusiki kuzika? Labda kwa kuwa wanazingatia kuzuia msongamano/mkusanyiko…..wakiwaachia ndugu wazike ndugu wana uwezo wa kuzuia watu wasije kumzika mpendwa wao?...… Sidhani kama kuzikwa na serikali kunamaanisha ni corona case.guys kwel tujiulize kwanin azikwe na serikali kwani hana ndugu huyu mama
Sent using Jamii Forums mobile app