secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Jiongeze....Guys kwel tujiulize kwanin azikwe na serikali kwani hana ndugu huyu mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiongeze....Guys kwel tujiulize kwanin azikwe na serikali kwani hana ndugu huyu mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mmesema serikali inakuwa inaratibu ili ku_avoid mikusanyiko? Kwani korona inaangalia cheo au nembo?Alilikuwa na cheo chochote serikalini?
Au naye alifunikwa nembo ya bunge kama huyu mama?
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeMbona wapo 11 sasa
Ni Codiv19 mkuu.Naona kuna kitu hapa , walioshuhudia mwili ni mtoto wake na kiongozi wa kanisa wanasema wameushuhudia mwili lakini hawakuruhusiwa kuukaribia. Hivyo ni ushahidi kuwa kuna tatizo la CONVID19 hapa, ila huyu amepewa special treatment ya kuzikwa na ndugu tofauti na wenzake ni kama Privilage
Vidole havilingani ...dunia hii
Ingekuwa busara kwa watumishi wa Mungu kuwa tu wazi ...Ni Codiv19 mkuu.
Kabisa contact tracing ifanyike na wale aliowasalisha J2(siku moja kabla ya kufariki) wajifanyie self isolation na kujifukiza kama mkemia alivyoshauri.Ingekuwa busara kwa watumishi wa Mungu kuwa tu wazi ...
Lakini pia kuna taarifa kuwa kabla ya kukubali kumpeleka hospitali walitumia muda mwingi sana kumuombea kwa kumuwekea mikono , hivyo lazima serikali ifanye contacts trace ili watibiwe baada ya kuwa wamepimwa
Bado ya kwangu na ya kwako, tujiandae mkuu.Shughuli imeisha.
Naona kuna kitu hapa , walioshuhudia mwili ni mtoto wake na kiongozi wa kanisa wanasema wameushuhudia mwili lakini hawakuruhusiwa kuukaribia. Hivyo ni ushahidi kuwa kuna tatizo la CONVID19 hapa, ila huyu amepewa special treatment ya kuzikwa na ndugu tofauti na wenzake ni kama Privilage
Vidole havilingani ...dunia hii