Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Rais Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Wanafamilia, Wabunge na Waumini wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God) kufuatia kifo cha Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatare.
Rais ameeleza kusikitishwa na Kifo cha Mchungaji huyo ambaye amesema alikuwa mcha Mungu, mwenye upendo, asiye na majivuni, aliyepigania umoja na amani na aliyeipenda nchi yake kwa dhati.
Amesme “Katika kipindi hiki cha majonzi tumuombee Askofu Rwakatare apumzike mahali pema peponi na nawasihi Waumini wa Kanisa la Mlima wa Moto muendelee kuwa wamoja na muendeleze mazuri yote yaliyofanywa na Askofu Rwakatare wakati wa uhai wake”
Rais ameeleza kusikitishwa na Kifo cha Mchungaji huyo ambaye amesema alikuwa mcha Mungu, mwenye upendo, asiye na majivuni, aliyepigania umoja na amani na aliyeipenda nchi yake kwa dhati.
Amesme “Katika kipindi hiki cha majonzi tumuombee Askofu Rwakatare apumzike mahali pema peponi na nawasihi Waumini wa Kanisa la Mlima wa Moto muendelee kuwa wamoja na muendeleze mazuri yote yaliyofanywa na Askofu Rwakatare wakati wa uhai wake”