Watanzania tuweni na utu, ubaya wa mtu hakuhalalishi kumtendea ubaya.
Kuna utaratibu inadaiwa unatekelezwa na Magereza yetu na utaratibu huo ni Wafungwa ama mahabusu kuvua nguo zote.
Huu si Ubinadamu ni Unyama.
Kwa kukufahamisha tu hata magereza ya Norway (kunakoaminika kuwa na magereza bora duniani) yana huo mfumo. Ukiingia mfungwa unavua nguo zote na unakaguliwa. Hao jamaa wanataka waingie gerezani kama wanavyoingia ofisini pale ufipa? Hakuna hiyo.Watanzania tuweni na utu, ubaya wa mtu hakuhalalishi kumtendea ubaya.
Kuna utaratibu inadaiwa unatekelezwa na Magereza yetu na utaratibu huo ni Wafungwa ama mahabusu kuvua nguo zote.
Huu si Ubinadamu ni Unyama.
Mnapotoa Post kama hizi ni vema Kufanya uchunguzi kwanza kuona ni Tz tu au ni Dunia nzuma.Watanzania tuweni na utu, ubaya wa mtu hakuhalalishi kumtendea ubaya.
Kuna utaratibu inadaiwa unatekelezwa na Magereza yetu na utaratibu huo ni Wafungwa ama mahabusu kuvua nguo zote.
Huu si Ubinadamu ni Unyama.
Na ndo utaratibu wa vipimo vya jeshi,kuvuliwa nguo kucheki kinyeo na mshedede unachekiwa km unaenda wima.Kwa hyo unataka kusema wajeshi wote wanefanyiwa hivyo?.
huo nao NI udhalilishaji
Na ndo utaratibu wa vipimo vya jeshi,kuvuliwa nguo kucheki kinyeo na mshedede unachekiwa km unaenda wima.
Hapa bongo hawakuvui nguo pekee bali wanakuvua na kupekuwa huko nyuma,Ukingia jela lazima uvuliwe nguo zote
Huo ni utaratibu....
Kuna wakati wabunge wa cdm walishawahi kulalamikia hili
Ova