Nisawa mujini Kirkman making a wakeKafanya nn hasa
Ni ujinga huo huo wa kuvaa burqa eti imeamrishwa- joto lote hili mtu yumo tu! Unajuaje kama sio biashara ya Mtume (SAW) mnunue biashara zake enzi hizo (maana alikuwa mfanya biashara). Ukishakuwa mtumwa wa dini umekwishaWajinga Ndiyo Waliwao.
Wajinga ndio waliwao faiza foxy yupo sahihi.Ni ujinga huo huo wa kuvaa burqa eti imeamrishwa- joto lote hili mtu yumo tu! Unajuaje kama sio biashara ya Mtume (SAW) mnunue biashara zake enzi hizo (maana alikuwa mfanya biashara). Ukishakuwa mtumwa wa dini umekwisha
Images for burqa
https://www.google.com/search?q=bur...LrVmgM%2C_&usg=__UqfH9NKWO7UHTloB83qD-uPVsUE=
Images for burqa
View attachment 454913
View attachment 454911
View attachment 454915
View attachment 454912
View attachment 454914
Hata biblia iko waz calm down mkuu ngano na magugu achen vkue vyote Bwana wa mavuno akija yy ndo atatoa na kuvtenga ucjal wapo weng... Et kabisa niende kwa masanja aniombee...? ntakua nmerogwa
Kweli kabisa mkuuUchungaji sio taaluma. Uchungaji ni karama kutoka kwa Mungu......
Ila kidunia ndio tunafanya kama taaluma hata wale wasio na wito kuwa wachungaji
Ndio maana wengi wanaishia kufanya mambo ya ajabu
Unamuonea bure,wachungaji wote ni biashara hakunamkweli hata mmoja elimu ya uchungaji tayari ameshapitia tatizo lako nini? Wajinfa ndio waliwao muache afanye buashara wakati wateja wapo.Watanzania wenzangu nimeshtushwa sana Na ujio wa Baba Mchungaji Masanja Na mkewe.Mchungaji masanja hebu jipime elimu ya uchungaji umeipata lini Na wapi? Mchungaji masanja uchungaji in taalum hebu uwe Na Hofu ya Mungu .Naamini Uchungaji wako ni Biashara kwani hujasomea popote .
Na Mzee wa Upako nae anauchungaji gani? Mbona wote wako sawa tu.Sasa huyo ze comedian ana uchungaji gani?
Kwa hiyo wewe unafurahi MAMA yako akipita kavaa kimini mbeleyako? Kweli wajinga wapo wengi ndio maana Masanja anawashughulikia, neno "wajinga ndio waliwao" huo ni mstari ndani ya Bibilia sass hayo matusi yanakujaje.Ni ujinga huo huo wa kuvaa burqa eti imeamrishwa- joto lote hili mtu yumo tu! Unajuaje kama sio biashara ya Mtume (SAW) mnunue biashara zake enzi hizo (maana alikuwa mfanya biashara). Ukishakuwa mtumwa wa dini umekwisha
Images for burqa
[URL='https://www.google.com/search?q=burqa&biw=1280&bih=889&tbm=isch&tbo=u&source=univ&sa=X&ved=0ahUKEwjDppjfpqzRAhXHAMAKHY4tBKkQsAQIVg']Images for burqa
View attachment 454913
View attachment 454911
View attachment 454915
View attachment 454912
View attachment 454914[/URL]
Uwe na akili hata kidogo na wewe kwani uchungaji mpaka usomee? Mungu ni roho tupu hana mwili mawazo yake si yakibinadamu mungu hafundishi mwilini bali hufundisha rohoni. Kiufupi hekima ya mungu haipatikani kwa mafundisho na nadharia za kitalamu sasa kwa nini unamshambulia masanja wakati hujui chochote katika ulimwengu wa roho? Jiepushe na fitna wakati mwingine huwa mnakonda bila sababuWatanzania wenzangu nimeshtushwa sana Na ujio wa Baba Mchungaji Masanja Na mkewe.Mchungaji masanja hebu jipime elimu ya uchungaji umeipata lini Na wapi? Mchungaji masanja uchungaji in taalum hebu uwe Na Hofu ya Mungu .Naamini Uchungaji wako ni Biashara kwani hujasomea popote .