Mchungaji Masanja "Mkandamizaji" Hebu uwe hofu ya Mungu

Mpira wa kona

JF-Expert Member
Nov 25, 2016
350
338
Watanzania wenzangu nimeshtushwa sana Na ujio wa Baba Mchungaji Masanja Na mkewe.Mchungaji masanja hebu jipime elimu ya uchungaji umeipata lini Na wapi? Mchungaji masanja uchungaji in taalum hebu uwe Na Hofu ya Mungu .Naamini Uchungaji wako ni Biashara kwani hujasomea popote .
 
Watanzania wenzangu nimeshtushwa sana Na ujio wa Baba Mchungaji Masanja Na mkewe.Mchungaji masanja hebu jipime elimu ya uchungaji umeipata lini Na wapi? Mchungaji masanja uchungaji in taalum hebu uwe Na Hofu ya Mungu .Naamini Uchungaji wako ni Biashara kwani hujasomea popote .
Hehehheheh Mwachie Mungu atakutana naye ndipo atajuwa mbivu na mbich
 
Back
Top Bottom