johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Askofu mkuu wa Feel Free Church Masanja Mkandamizaji amewataka wakristo kote nchini kumshukuru Mungu kwa kila jambo
Masanja amesema hayo katika misa ya shukrani baada ya Kanisa hilo kukamilisha mfungo wa Siku 5
" Japo nimeokoka ukinijibu Fyongo na mimi nakujibu Fyongo mambo ya akupigaye shavu la kushoto mgeuzie na la kulia yamepitwa na wakati" amesema baba askofu Masanja
Masanja amesema wakristo ni lazima waishi kwa kumtumikia Mungu wakati wote
Masanja amesema hayo katika misa ya shukrani baada ya Kanisa hilo kukamilisha mfungo wa Siku 5
" Japo nimeokoka ukinijibu Fyongo na mimi nakujibu Fyongo mambo ya akupigaye shavu la kushoto mgeuzie na la kulia yamepitwa na wakati" amesema baba askofu Masanja
Masanja amesema wakristo ni lazima waishi kwa kumtumikia Mungu wakati wote