Mchungaji Masanja "Mkandamizaji" Hebu uwe hofu ya Mungu

Neno linasema tusihukumu tusije tukahukumiwa! Lakini pia neno linatuambia watakuja makristo wauongo wengi tu nyakati hizi za mwisho Lakini Roho mtakatifu tuliepewa atatusaidia kuzipambanua roho za makristo na roho za walioitwa kwa ajili ya kazi ya Bwana,Kwahiyo muacheni bwana masanja afanye kile anacho kiamini na wala tusimhukumu,Hivi kama angefungua danguro ama cassino wengi nadhani wange mpongeza humu lakini kama ni hicho alichokiitiwa na anahubiri sawasawa na Neno wapo watakao okoka kwa kulisikia na kuliamini Neno,lakini pia kuwa mchungaji,mtume,nabii au hata nani haikupi ww kibali cha kwenda peponi maana peponi watu hawaingii kwa vyeo vyao wala nyadhifa zao,so hata yeye anakazi kubwa pia kutengeneza njia zake maana ni mwanadamu tena yeye ana kazi mbili kwnza kuchunga na kulisha kundi atakalopewa na Bwana na pili njia zake yeye mwenyewe,Hao wajinga waliwao ni wale wasiosoma Neno na kukaa katika Neno na kwl wataliwa sana mpk siku wakija kujitambua itakuwa ishakuwa too late.
 
Masanja ni mjasiriamali tu.. Alishaenda kujaribu kugombea ubunge akakosa,
Na hata kwenye social media naona mara kibao anawajibu watu kavu kweli.
Sioni uchungaji ndani ya Masanja.
Ngoja afanye tu mchezo kuna siku atakutana na mapepo ya maana. Hapo ndio atajua kutoa mapepo sio makelele.
Mapepo yanaweza kukutia hata upofu au kukufanya lolote ukiyapigia kelele ili hali huna mamlaka ya kuyatoa
 
wajinga ndio waliwao always! kamweeee siwezi kuombewa na huyo mlaghai
 
Watanzania wenzangu nimeshtushwa sana Na ujio wa Baba Mchungaji Masanja Na mkewe.Mchungaji masanja hebu jipime elimu ya uchungaji umeipata lini Na wapi? Mchungaji masanja uchungaji in taalum hebu uwe Na Hofu ya Mungu .Naamini Uchungaji wako ni Biashara kwani hujasomea popote .
Fanya utafiti haya makanisa ya kisasa. Akina mzee Wa upako kasomea Chuo kipi cha uchungaji, Gwajima and others
 
Yaaan hii nchi pesa ipo tuu, mm ninamjomba wangu anakiwanja chake hana hela ya kujenga, nikamwambia ngoja tujenge boma harafu tumtafute mtu wa kufokafoka na spika kubwa pesa itapatikana tuuuuu
 
Hapa tabata shule kuna kanisa, ukitaka kusali mpaka ujaze form, na jamaa kila kipindi cha kuswali anakuja na attendance yake anaita majin, ###JAMAN DUNIAN HAPA KUNA MAAAJABU SANA##
 
Piga hela tu. Maana kondoo ni wengi na wachungaji ni wachache. Pili sio mpaka asomee katembelewa na roho mtakatifu hivyo tayari anamaono ya kutosha.kwani Paulo alisomea wapi? Na mda sio mrefu ataanza kutoa mapepo na watu kuangukaanguka . komaa kaka umetumia Gep Kupiga mawe!
 
Hamna mchungaji mle kwan hata hamjiongezi jamani mchungaji anamuonekano wake bana yale maigizo
 
Kitendo cha kumtaja taja tu kinatosha kumfanya avune hela kuhusu elimu jamaa anayo kwanza alivuna watu kupitia usanii
 
AFRICAN PENTECOSTALISM HAS GIVEN BIRTH TO A NEW BREED OF MENTALLY LAZY CHRISTIANS WHO SEE GOD AS A REWARDER OF MEDIOCRITY.

By Kay Musonda

Africa is currently experiencing another form of slavery through Pentecostalism.

We are now mentally lazy and our ability to reason scientifically has been incapacitated. The write up below gives a vivid reality of the way we think.

The African pastor won’t talk about Usain Bolt or Serena Williams. The African Pastor won’t talk about Steve Jobs or the young people in Silicon Valley reshaping our world.

They won’t talk about young American scientists spending endless hours in search of a cure to a disease that’s predominantly in the Tropical African Region.

The African pastor won’t talk about Chimamanda Ngozi Adichie or Ben Okri. In every corner of the world, there exist young men and women who have defied all odds and become successful through hard work, creativity and dedication….

The African pastor won’t talk about them neither will he ask his members to emulate the spirit of these individuals.

He would rather talk about sister Agatha who got a job she WAS NOT THE MOST QUALIFIED FOR because she prayed and fasted in line with their church programme or brother John a millionaire because he used all his salary as a seed in the church, or Papa Miracle who he laid his hands on and 3 of his children got admission in the university, or Mama Esther paid her tithe and her business started growing everywhere across the nation with no business plan, just boom, everywhere.

This has led to a new breed of mentally lazy young people who now see God as a rewarder of mediocrity.

To the African pastor, the only way to prosper is by paying your tithe and ' seeds in the church. So they will never talk about those, who have through hard work and dedication placed themselves on the world map.

No…..the African god only blesses the first 30 people that rush to the alter to drop $100 as seed. The African god abhors hard work and creative thinking, he only gives to those who sow seeds and offerings…..and those who shout “I am a millionaire” every morning and do nothing the rest of the day.

You want the Almighty to come down and help you use the talent He gave you and bless you because you are going to church to shout “Daddy I receive it” you are all jokers.

Can someone tell these jokers that irrespective of your creed, faith or religion, blessings and favours follow you once you start using your talent and become useful to your society “ The Bible tells the story of the Talents.

Use it. Blessing is already bestowed upon us. When we use it positively, we ask the Lord to bless it. The Bible says His Grace is sufficient for us.

The Western world and Asians are excelling and dominating the world. Let no imam or pastor manipulate our minds while they jollificate in wealth and splendour while our people are mostly in abject poverty.

Be Wise. Worship of God is from the heart. Study, work and pray!!!
 
Wacha muendelee kuburuzwa tu mana hakuna namna, manake ukristo ni kama togwa la ngomani kila mtu anajinywea tu. !!!
Wala hakuna uhusiano na ukristo, dini ya kweli duniani ni upendo tu haya mengine ni mbwe mbwe tu.

Na jamii yenyewe inapenda sana kuongopewa na wala huwezi kuwaambia kitu, ndio maana yeyote tu anaweza kuibuka na kujipa uwakala wa Mwenyezi Mungu.

Haya mambo yasingekuwa na sadaka wala usingeona hizi vurugu...hushangai wote wanabanana maeneo ya mjini tu, as if wale wa vijijini hawana uhitaji wa hizo 'baraka'

Arusha kuna jamaa yeye kazi yake ni kupachika majina tu ya sadaka, hii ataiita ya kufungua njia, nyingine ataiita ya kuzuia maadui, yaani ali muradi kinachohitajika hapo ni pesa...na Watu wanakamuliwa mpaka wanashika adabu...kisa wanaahidiwa baraka.
 
Masanja ni mjasiriamali tu.. Alishaenda kujaribu kugombea ubunge akakosa,
Na hata kwenye social media naona mara kibao anawajibu watu kavu kweli.
Sioni uchungaji ndani ya Masanja.
Ngoja afanye tu mchezo kuna siku atakutana na mapepo ya maana. Hapo ndio atajua kutoa mapepo sio makelele.
Mapepo yanaweza kukutia hata upofu au kukufanya lolote ukiyapigia kelele ili hali huna mamlaka ya kuyatoa
Fanya yako ,mxiuuu
 
sasa kama uyu comedian jaman si anamkufuru mungu kabisa? eti leo hii nae anajiita mchungaji!! ila hukumu ipo apa apa tu dunian
 
uchungaji ni taaluma kama zingine ndo maana tuna vyuo vya uchungaji siku hizi lakini hata zamani ukipata karama ya uchungaji au huduma yoyote kuna vitu utapaswa kujifunza kwanza.ukisoma habari za mtume paulo utajua umahili aliyokuwa nao aliupata wapi.ulijifunza kwa barnaba na Gamalieli magwiji wa sheria
 
Back
Top Bottom