santos mtn
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 348
- 369
hujakosea mkuu alipost mwaka jana january.Mmm mkuu hiyo picha imetumwa 57 weeks ago. Au mie ndo sijui haya mambo ya mtandao.
hujakosea mkuu alipost mwaka jana january.Mmm mkuu hiyo picha imetumwa 57 weeks ago. Au mie ndo sijui haya mambo ya mtandao.
Huyo binti naye ni mzembe sana.. Yani hili vuguvugu hakujua madhara ya hiyo post yake?Duh,hakika ukiwa muongo unatakiwa uwe na ubongo uliotulia,ukibug step kidogo tu umekwenda na maji,Ndo maana Abraham Lincolin alijisemea"No man has a good enough memory to be a successfull liar."
Hiyo ilikuwa January 2016.Huyo binti naye ni mzembe sana.. Yani hili vuguvugu hakujua madhara ya hiyo post yake?
Kumnasa mtu aliye badili jina ni rahisi sana,mmchukue na kumpeleka sehemu aliyokulia kisha piga nae misele hapa na pale utasikia tu rafiki zake wa enzi hizo jina wanalomuita.Aaah mama ashaua hapo,
Ubaya naskia hawana mtoto
Maana wangekuwa na mtoto at least wangesema aka yake ni Daudi.
Ila pia kosa la Bashite aka Makonda, siyo kufeli kosa ni forgery, kama kufeli, kina Mbowe na Ole sendekea walisha feli na wanapiga mzigo fureshi tuu.
Makonda or Bashite or whoever ajitokeze kujibu tuhuma maana hali ishakuwa mbaya hapa.
Sasa baada ya hili vuguvugu kuanza angeifuta haraka kabla haijatiliwa maanani.. Au ndio mpango wa Mungu?Hiyo ilikuwa January 2016.
57 weeks ago mkuu approximately a year and 2 months ago,hakukua na hili vuguvugu na naamini hawakuwahi kufikiri watu watachimba mpaka kufika huko.Huyo binti naye ni mzembe sana.. Yani hili vuguvugu hakujua madhara ya hiyo post yake?
Halafu huhitaji watu wengi sanaKumnasa mtu aliye badili jina ni rahisi sana,mmchukue na kumpeleka sehemu aliyokulia kisha piga nae misele hapa na pale utasikia tu rafiki zake wa enzi hizo jina wanalomuita.
Daudi vp za siku au Daudi umenenepa sana au Daudi mambo yako super sana dah hahhaaa
Nafikiri ni mpango wa Mungu tu, maana kama angekuwa mjanja mara tu baada ya vuguvugu kuanza angeifuta hiyo post57 weeks ago mkuu approximately a year and 2 months ago,hakukua na hili vuguvugu na naamini hawakuwahi kufikiri watu watachimba mpaka kufika huko.
Sasa baada ya hili vuguvugu kuanza angeifuta haraka kabla haijatiliwa maanani.. Au ndio mpango wa Mungu?


Thanks for your messageDuh,hakika ukiwa muongo unatakiwa uwe na ubongo uliotulia,ukibug step kidogo tu umekwenda na maji,Ndo maana Abraham Lincolin alijisemea"No man has a good enough memory to be a successfull liar."
Zamani walikuwa wanatoa cheti chenye 0 mkuuUnamsema Ole Sendeka eh?huyu hajatumia cheti cha mtu bali anadunda na cheti chake chenye yai.
Sio siri unatia aibu.Hahahaaaaaaaaaa
Mama Daudi mwenyewe, akimaanisha yeye atakuwa mama wa Daudi. Imani ya kupata mtoto hiyo jamani, kutoka kwake msoma biblia.
Duh,hakika ukiwa muongo unatakiwa uwe na ubongo uliotulia,ukibug step kidogo tu umekwenda na maji,Ndo maana Abraham Lincolin alijisemea"No man has a good enough memory to be a successfull liar."