Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,955
- 55,050
Hii inaonyesha watanzania tuna akili ndogo sana,kitu kimoja kila mtu anaazisha thread
Hakuna lizaboni hapoLizaboni ni wewe au macho yangu? siamini.
Hawezi kutia neno labda wanachepukaNi mapema mno kukutupia lawama ndugu na mama yangu Ndalichako kuhusu ukimya wako katika sakata LA ununuzi Wa vyeti linalomkabili Mkuu Wa mkoa.
Nina imani kuwa wewe ni shujaa hivyo utachukuwa hatua ikiwa kweli Naye ni miongoni mwa watu walioshiriki au wanaoshiriki kuiharibu elimu yetu kwa kupita njia zisizo halali. Hivyo nasubiri tamko na hatua utakazozichukuwa dhidi ya tuhuma hizi nzito na hatarishi kwa elimu na taaluma ya nchi yetu
Mtu wa Mungu, huyo ndie Daud Bashite.Bwana yulee..... ...
Sasa wewe mbna imekuja kureply humu kama thread haikuwa na maana?Hii inaonyesha watanzania tuna akili ndogo sana,kitu kimoja kila mtu anaazisha thread
Yaani watu kiboko, huku wenzake wanakata book yeye anapiga usingizi tu.Labda wanaonyesha jinsi alivyo genious.
Sasa wenzake wanasoma yeye kalala sasa hapo utaacha kupata ziroHuyo ni makonda mwenyewe...
hahahaha ni noma aisee, wana archives ambazo hata hujui wanazipata wapi
Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.
Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.
Ili mambo ya timu wema vs team bashite iishe ni vyema ukamshauri daud alete vyeti vyakeHuwezi kumhukumu mtu kwa kuangalia picha tu,huwezi jua huyo aliyelala pengine siku hiyo alikua hajisikii vizuri,pengine alikua ana umwa na kichwa so,akaamua ajipumzishe kidogo,
Pia upo uwezekano kua huenda labda yeye alianza mapema zaidi ya hao wenzake kujisomea na hapo wenzake walikua wanamalizia jambo fulani tu dogo so, yeye akaamua apumzike,
Ziko sababu nyingi tu za kuitafsiri hiyo picha ila mleta mada umeamua kuitafsiri in a negative way only,
Naona Jamii forums sasa inageuka na kua kawa Instagram,kuna team Makonda na kuna team Wema!!
JF irejeshe hadhi yake,sio kila unachokiokota huko kwenye magroup ya WhatsApp basi unakimbia mbio kuja kuanzisha thd humu, sio kwamba nawapangia watu vitu vya kujadili hapana sina maana hiyo, jf irudi katika ubora wake.
Tumia akili kidogo, mkuu wa mkoa ndie msimamiz mkuu wa uhakiki wa watumishi hewa, kama aligushi vyeti anapata wapi ujasiri wa kukagua wengine?Issue ya vyeti na nafasi aliyonayo Hamna uhusiano wwte...
Kwa s' bu hata Masomo aliyochukua hayaingiliani na masuala ya siasa Au Uongozi,Ila still ANANYOOSHA VIUMBE, Gwajima ka Panic KITOTO, network ya Drugs ni pana Sana, kupimwa na kukutwa hana Drugs Haitoi maana ya moja kwa Moja kwmb He Is totally CLEAN..
PLus hakuna mtu wa kuamini ktk Maisha Haya,kuwa Kiongozi wa Dini (Mchungaji) Haitoi taswira kwmb hana MADUDU yke, it is just a Matter of time
Anawafundisha kazi waziri wa elimu+Raisi, ili iweje ss??
Dai la yy kuwepo ktk orodha Ile ni Kuhusu suala la kisiasa Hasa nafasi ya UBUNGE, na kwa maelezo yake anasema "ANAFIKIRI", so HANA UHAKIKA!!...
Daah, Upuuzi kbs