Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

101cd76ba5e3bcdffc24153d4616472b.jpg


Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.

Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.


Picha inamaanisha the sleeping man was going to pass the exams by means of osmosis,

Hapo usishangae hao wengine wanamtaabikia aliyelala
 
Hizi tuhuma ni za kweli. Hofu yangu ni kwa baba jesca Kama ataweza kuchukua Maamzi ya kumwachisha kazi
 
Huwezi kumhukumu mtu kwa kuangalia picha tu,huwezi jua huyo aliyelala pengine siku hiyo alikua hajisikii vizuri,pengine alikua ana umwa na kichwa so,akaamua ajipumzishe kidogo,

Pia upo uwezekano kua huenda labda yeye alianza mapema zaidi ya hao wenzake kujisomea na hapo wenzake walikua wanamalizia jambo fulani tu dogo so, yeye akaamua apumzike,

Ziko sababu nyingi tu za kuitafsiri hiyo picha ila mleta mada umeamua kuitafsiri in a negative way only,
wewe sikiliza dogo...bashite angepata div3 au div4 tungehisi hivyo unavyowaza wewe...zero maana yake alikuwa hapendi kusoma,,..yaani hakuna anachokijua....mbururah yani...
hajua kitu kuhusu masomo hata kuandika essay hawez...
sasa apo boma reports huwa anafanyaje sijui.....always kila.aza atabaki kuwa kilaza tu.....kweli kuwa original laha
 
Kweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma


Hapa kazi tu
Kazi tu pia na vyeti atuonyeshe sindo sera ya, awamu ya tano hewa mwendo wa hewa
 
Gwajima alilalamika kwamba amevunjiwa heshima, kutangazwa hadharani. Gwajima akasema atamshitakia makonda kwa MUNGU. Leo hii amerudia yale ambayo ameita ni makosa kutangazwa hadharani! Huyu ndiye anajiita Mtumishi wa MUNGU! Mtumishi ambaye analipa kisasi, Mtumishi ambaye analeta mipasho! Mtumishi ambaye alipaswa awafundishe waumini wake mafundisho yaliyo mema ikiwa ni Pamoja na kuwafunza waumini wake kusamehe badala yake anawafunza mipasho je tutarajie hawa waumini watakuwa ni wa aina gani?
 
101cd76ba5e3bcdffc24153d4616472b.jpg


Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.

Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.

Jamaa linaonekana ni zembe zembe by nature.
 
Katika dunia ya dhambi watu tuliotoka kwenye family maskini na tuliosoma kwa shida, tukiwa bright hatupati support yoyote, hatupati chances na madaraka.

Madaraka wanapata akina fulani - sawa
 
Ukiwa busy kufanya yako, nasi unatupa muda wa kufanya yetu.

Ukitufuatilia, hakuna namna nasi tutakufuatilia.

Ulipotuvua kofia ili kuwaonyesha watu kuwa tuna vipara, ilituuma. Sisi tumejipanga kuwaonesha watu kuwa unabusher, unahisi kuonewa. Tulia, mwaka wetu wote huu.

Kuteuliwa na Kutumbuliwa zote K. Kamatia Msambwandaaaa....
 
Kweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma


Hapa kazi tu
Kazi ya kufoji vyeti. Yani hapa dsm tunaongozwa na mtu aliepata fafafaf! Hii ni aibu ya karne asee
 
Mungu akuhurumie gwajima naomba kujua na uthibitidhe tangu baraza LA mitihani kutoa Cheri chenye sufuri.pia wewe unavimiliki umevitoa wapi? Au saivi nacte wanadouble vyeti......kweli wewe ni mtu wa kupu.....
 
Back
Top Bottom