kyamafi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 250
- 132
BarazaYeye alivitoa wapi?
BarazaYeye alivitoa wapi?
![]()
Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.
Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.
wewe sikiliza dogo...bashite angepata div3 au div4 tungehisi hivyo unavyowaza wewe...zero maana yake alikuwa hapendi kusoma,,..yaani hakuna anachokijua....mbururah yani...Huwezi kumhukumu mtu kwa kuangalia picha tu,huwezi jua huyo aliyelala pengine siku hiyo alikua hajisikii vizuri,pengine alikua ana umwa na kichwa so,akaamua ajipumzishe kidogo,
Pia upo uwezekano kua huenda labda yeye alianza mapema zaidi ya hao wenzake kujisomea na hapo wenzake walikua wanamalizia jambo fulani tu dogo so, yeye akaamua apumzike,
Ziko sababu nyingi tu za kuitafsiri hiyo picha ila mleta mada umeamua kuitafsiri in a negative way only,
haha mkuuuu...Picha inamaanisha the sleeping man was going to pass the exams by means of osmosis,
Hapo usishangae hao wengine wanamtaabikia aliyelala
Kazi tu pia na vyeti atuonyeshe sindo sera ya, awamu ya tano hewa mwendo wa hewaKweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma
Hapa kazi tu
Ukiwemo na weweHii inaonyesha watanzania tuna akili ndogo sana,kitu kimoja kila mtu anaazisha thread
![]()
Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.
Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.
Mi naon labd itakuw ni living certfcateNecta wanatoa vyeti kwa waliozungusha??
Kazi ya kufoji vyeti. Yani hapa dsm tunaongozwa na mtu aliepata fafafaf! Hii ni aibu ya karne aseeKweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma
Hapa kazi tu
Kweli watanzania tuna akili ndogo sana kuliko daudi bashite aliezungusha form four na kupata fafafaf kisha akabadilisha jinaHii inaonyesha watanzania tuna akili ndogo sana,kitu kimoja kila mtu anaazisha thread