Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Kweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma


Hapa kazi tu
Duuuh kazi uliyojipachika ni ngumu sana aisee.... inabidi kujitoa ufahamu kabisa halafu ndo utetee
 
Like father like son baba kagushi PHD na mtoto kapewa mkoa wa watu wengi kumbe darasa la nne kafeli fisheries kafeli mbegani kafeli muccobs kafeli kilaza wa vilaza ambao hawajawai tokea eti ndio majaliwa na Magufuli wanamwita jembe ha ha kilaza
 
Kweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma


Hapa kazi tu
Hapo alikuwa kashamjua wa kumuuzia vyeti ndo maana hakuona haja ya kukaza msuli..
 
101cd76ba5e3bcdffc24153d4616472b.jpg


Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.

Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.
Hata mimi nilishaiona mara kadhaa sikuielewa, leo imetumwa imezungushiwa rangi nikaambiwa ni bashite.... Daaa mbavu zangu had saiv hazijaacha kuuma
 
Ndiyo maana alikuwa ana disco wenzake wanakata nyanga yeye kapiga mbonji. Ataacha kweli kutupia nyavuni kamba sita kati ya nane?
 
Back
Top Bottom