IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
Duuuh kazi uliyojipachika ni ngumu sana aisee.... inabidi kujitoa ufahamu kabisa halafu ndo uteteeKweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma
Hapa kazi tu