Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

157611.jpg


CVs za mh. Paul makonda toka ukuu wa wilaya ya Kinondoni mpaka ukuu wa mkoa wa Dar es salaam ni vyeti tosha kabisa kwa kazi yake!
KWA MANENO MENGINE HATUHITAJI VYETI VYOVYOTE VYA MAKONDA BAADA YA KUSHUHUDIA KAZI YAKE, INATOSHA! KAMA MTU KATUONYESHA UWEZO WA KUFANYA MAMBO YALIYOWASHINDA MAPROFESA TUMDAI VYETI VYANINI WAKATI ELIMU YAKE KWA VITENDO HAIPIMIKI KWA VIWANGO VYOTE VYA 'UNIVERSITY'?
 
mambo ya aibu sana, watu wanahangaika kusoma na ajira hakuna ila wajinga flani kwa kujuana na watoto wa wakubwa wanakula shavu na kuleta nyodo

nchi ya kipuuzi sana hii kama ni kweli.
Haiwezi kua kweli mpk ithibitike mahakamani spare your words.
 
Paul Makonda alipata division two point 18 form four na chuoni ( muccobs) alipata upper second class hakuwahi kudisco alikuwa very bright .

BY: Wanafunzi waliosoma na Makonda chuo na secondary.
unaijua evening class mkuu, mwenye kujitahidi alikuwa anapata division three
 
Nakubali... Emungu nijaliege uzima nishuhudie hatma ya Ili taifa lenye vituko kila kukicha...
Aamen..!
 
Nimeona hyo kamvua nguo zote walalh huyu dogo imekula kwake sujui atagombea nn na vyeti vyake feki ni pingamizi tu atendelea kuteuliwa viti maaluum tu na sizonje wake
Muhusika amekana kuwa hakuwahi kumjua makonda na vyeti vyake havikuwahi kutumika popote pale,na amemuonya Gwajima kumtaja taja kwa uongo atamfungulia kesi.
 
Niimbe wimbo gani nimfariji shujaa wangu!
Jinsi ulivyochomoza ghafla! kama mapambazuko ya asubruhi! Lakini siku inaendaje! Mbona jua linakimbilia machweo kwa spidi ya mwanga! Kwa nini usiku unaharakisha!
Natamani kulia lakini machozi yanatoroka! Niimbe wimbo gani nimfariji shujaa wangu!
 
157611.jpg


CVs za mh. Paul makonda toka ukuu wa wilaya ya Kinondoni mpaka ukuu wa mkoa wa Dar es salaam ni vyeti tosha kabisa kwa kazi yake! KWA MANENO MENGINE HATUHITAJI VYETI VYOVYOTE VYA MAKONDA BAADA YA KUSHUHUDIA KAZI YAKE, INATOSHA!
Maneno haya hayana tena uwezo wa kumfariji!
 
Back
Top Bottom