Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Hii inaitwa “Kill Or Be Killed"....shida ya michezo mibaya ukiishamkosea step adui yako kidogo tu naye akapata chance yakukuchapa hutokaa uamini kitakachokutokea na ndo kinachomtokea Bashite.kama kweli Gwajima kayasema haya lazima atakuwa na hard evidence maana ni jambo zito.
Apeleke ushahidi mahala husika makonda atachukuliwa hatua
 
wewe umefika wapi? acha wivu wa kijinga
Yeah ndo usiseme sasa kuwa awe mfano wa kuigwa sijui ni hardworker...... we jua kwamba sio fighter wala nini ni mjanja flani tu kafoji vyeti baada ua kukata tamaa ya kufeli kila cku shuleni na pia aliponra baada ya kukutana na benjamin sitta ndio akabebwa..... so dont tell us that BS eti mfano wa kuigwa unatudhalilisha sisi vijana.

Wivu???😀😀 Oooh pliz...... kwa lipi??? Mkuu yaani nmuonee wivu mtu aliyebebwa na aliyepata GPA ya 2.7???? Really??? Sihitaji kuboast ila what i have is very enough kwa umri wangu na sina haja ya kumuonea wivu mtu yoyote maana nmeridhika na maisha yangu siwezi anza muonea wivu MFOJI VYETI na KILAZA wa division zero

OVER MY DEAD BODY
 
Kuamua kutumia cheti cha mtu mwingine ili atoboe kimaisha ni akili kubwa sana na anaonyesha ni mpambanaji, sio mtu wakubweteka. Tatizo liko kwenye vita aliyoianzisha. Mwenyezi Mungu msaidie katika kazi hii.
Mungu hasimami na wanafiki
 
Yeah ndo usiseme sasa kuwa awe mfano wa kuigwa sijui ni hardworker...... we jua kwamba sio fighter wala nini ni mjanja flani tu kafoji vyeti baada ua kukata tamaa ya kufeli kila cku shuleni na pia aliponra baada ya kukutana na benjamin sitta ndio akabebwa..... so dont tell us that BS eti mfano wa kuigwa unatudhalilisha sisi vijana.

Wivu???😀😀 Oooh pliz...... kwa lipi??? Mkuu yaani nmuonee wivu mtu aliyebebwa na aliyepata GPA ya 2.7???? Really??? Sihitaji kuboast ila what i have is very enough kwa umri wangu na sina haja ya kumuonea wivu mtu yoyote maana nmeridhika na maisha yangu siwezi anza muonea wivu MFOJI VYETI na KILAZA wa division zero

OVER MY DEAD BODY

hahahahahahaha...relax mkuu..utapasua kisimu chako au keyboard ya computer
 
Piga kazi MAKONDA OKOA WATOTO WETU!! Hayo ni maneno ya mkosaji Hayana Nguvu!!
WATAISOMA NAMBA CCM MBELE KWA MBELE
 
Yeah ndo usiseme sasa kuwa awe mfano wa kuigwa sijui ni hardworker...... we jua kwamba sio fighter wala nini ni mjanja flani tu kafoji vyeti baada ua kukata tamaa ya kufeli kila cku shuleni na pia aliponra baada ya kukutana na benjamin sitta ndio akabebwa..... so dont tell us that BS eti mfano wa kuigwa unatudhalilisha sisi vijana.

Wivu???😀😀 Oooh pliz...... kwa lipi??? Mkuu yaani nmuonee wivu mtu aliyebebwa na aliyepata GPA ya 2.7???? Really??? Sihitaji kuboast ila what i have is very enough kwa umri wangu na sina haja ya kumuonea wivu mtu yoyote maana nmeridhika na maisha yangu siwezi anza muonea wivu MFOJI VYETI na KILAZA wa division zero

OVER MY DEAD BODY
Labda uonee wivu kalai lake
 
Daudi atuoneshe cheti malumbano yaishe.
Amuonyeshe nani? Kwani anashida gani? Ameshamuonyesha muajiri wake ameridhika? Kama unashida navyo peleka tuhuma na ushahidi mamlaka husika achukuliwe hatua.
 
Back
Top Bottom