Makonda ni hodari sana kuvitumia vyombo vya habari,Nasubiri nione akivitumia ili akanushe tuhuma hizi vinginevyo vyombo vya Habari vimtafute atuambie ukweli wa hili.
Tukumbuke wengi wamepoteza ajiri zao kwa ajili vyeti vya kughushi Kwa nini yeye a achwe? Wapi Ndalichako? Wapi NGOSHA?