Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

*CV YA PAUL MAKONDA*

1. Alizaliwa tar.15/02/1981 katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.

2. Majina yake halisi ni *Daudi Albert Bushite*

3. Alianza darasa la kwanza mwaka 1988 katika shule ya msingi Koromije akitumia majina ya *Daudi Albert Bushite*. Mwaka 1991 alifeli darasa la 4, akarudia.

4. Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition).

5. Mwaka 1996 alihitimu darasa la 7 lakini hakuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya serikali.

6. Mwaka 1997 akajiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya Pamba.

7. Mwaka 2000 akahitimu kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero).

8. Mwaka 2001 akatumia cheti cha Ndg.Paul Christian Muyenge (chenye div.3 ya points 25) kujiunga na chuo cha uvuvi Nyegezi (Nyegezi Fisheries Training Institute) kwa masomo ya Certificate akahitimu mwaka 2002.

9. Mwaka huohuo 2002 akitumia cheti cha *Ndg.Paul Christian Muyenge*, alijiunga na Chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo kwa masomo ya Diploma ya uvuvi (ORDINARY DIPLOMA IN MASTER FISHERMAN, NTA LEV.6), na kuhitimu mwaka 2005.

10. Mwaka 2003 alikutana na Ndg.Benjamin Sitta (mtoto wa Marehemu Samwel Sitta, ambaye ni Mayor Kinondoni kwa sasa). Wakawa marafiki.

11. Mwaka 2005 baada ya kuhitimu Stashahada yake ya uvuvi, aliomba admission Chuo cha Kilimo Sokoine kusoma shahada lakini akakosa nafasi.

12. Baada ya kukosa nafasi alienda kuishi nyumbani kwa Marehemu Sitta akiwa kama rafiki wa Ben (mtoto wa Sitta). Kwakuwa alitoka familia duni, Sitta aliahidi kumsomesha elimu ya juu.

13. Mwaka 2006, alipata udahili Chuo cha ushirika na biashara Moshi (wakati huo kikiwa chuo kikuu kishiriki cha SUA), kwa kutumia vyeti vyake vya certificate (ya Nyegezi) na diploma (ya Mbegani).

14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management &Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokua akisoma (akawa discontinued).

15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na _carries 3_ ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa _carry over_ na _supplementary_. Akaamua kuacha chuo.

16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.

17. Mwaka 2009 akarudi tena MUCcoBS kwa udahili mpya. Akaachana na CMA akachagua Community &Economic Development (CED).

18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community &Economic Development kwa jina la *_Paul C Makonda_* badala ya majina yake halisi ya *_Daudi A Bushite_*

19. Jina *_Makonda_* analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Cheti cha Form four kinasomeka *_Paul C Muyenge_* lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka *_Paul C Makonda_* baada ya kuapa mahakamani.

20. Ndugu Daudi Albert Bushite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. Na ndiye mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.

Source : M. Mahanga (Facebook)
Ataisoma number
 
Tulia wewe, husisome mstari mmoja kwenye biblia, kuna mistari mingi tu watumishi wa Mungu walipigana na waovu tena wafalme

Achs kudanganya umma. Hapa ni kashfa kwa mtumishi. Sasa mtumishi ndo alipe kisasi. Biblia yako we unaisoma kama novel. Ujumbe wa Mungu uko wazi atakayevumilia mpka mwisho ndo atakayeokoka. Mchungaji kazi yake ni kuwafanya watu wamkaribie Mungu iwe kwa kusema. Kuonya. Kukaripia nk itakuwa mtume Paulo sikumbuki. Lakini yeye magumu yanapomkuta anapaswa kumkabidhi Mungu. Kibinadamu angeweza kujieleza yeye kuwa hauzi wala hatumii. Mali zake anazipata kwa njia hihi na hii nk. Lakini sio sasa kumfuatilia mtu. Huo sio unabii ni ushambenga. Sisi wakristo njia. Yetu ni Kristo. Ukweli wetu ni Kristo na uzima wetu ni Kristo. Kama yeye alivyokabidhi mateso yake. Mwanafunzi wake. Mkristo hupaswa kukabidhi mateso na mahangaiko kwa bwana. Njia hii ni ngumu. Sio rahisi. So. Makonda awe na makosa yake. Ok but sio kazi ya askofu kukaa kanisani na kuropoka. Its never done like that. He is or ought to be a Man of God. Now kama ataanza kutumia neno hivyo je akinza na siri za waamini wake anaowahudumia.
 
Kama namuona ndalichako ameshika wembe na jopo lake la wakaguzi af wanasita maana jipu lipo usoni kwa mkuru sasa ni kasheshe tupu af mashabiki wamasema tumbuaaaa
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Mkuu malipo ya ubaya ni hapahapa duniani na siku zote ubaya hauna kwao inafaa atumbuliwe kwa style ile aliyofanyiwa marehemu kabwe "nimtumbue nisimtumbue mtumbueeeeee!"
 
Rejea CV yake hapo juu. Wakati mwingine usitangulize njaa kwenye masuala muhimu, tumia akili
Kuna suala gani muhimu hapa
Hiyo ni CV ya Makonda inawezaje kuitwa suala muhimu kwangu?
Hata wewe una CV yako na Mimi Nina CV yangu sasa tatizo liko wapi?
Njaa kila mtu anayo na hatuombani pesa maana kila mtu anajua wapi atakula au wapi atapata pesa
Wewe utahongwa wakati Mimi nazisaka.
 
Dah mumeamua kumvua mpaka boxa kabisa!! Watu nyie kweli siasa si hasa!!
 
Kuuuuuumbeeee!!!basi muheshimiwa ana nyota ya kunguru kwenye elimu lakini kimafanikio ana nyota ya jah
 
mvuvi makonda shikamoo Cv imeshiba nene kama lemutuz zomeeni hilloo
 
sasa hiyo ya kuzaa ama kutozaa nayo ni part ya cv kweli,kama ni ivo basi tuliosoma zaman inabd turud tena shule maana mitaala imebadilika sana
ni party ya cv mkuu, we huoni katika cv kuna kipengele cha kusema single or married lazima uweke
 
Mungu mwema. Huyo ndio Askofu, Dr. Josephat Gwajima. Askofu tajiri zaidi kuliko wote Tanzania. Aliwahi kusababishiwa ukiwete (paralysis) mwaka 2015 punde kabla ya uchaguzi akatembea kwa wheel chair lakini kupitia maombi akanyanyuka tena.
 
Back
Top Bottom