Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Nyie ndio wale mlotumwa kwenda Koromoje?
Halafu unajua watu wastaarabu wakoje? kama yeye haonyeshi na wengine wanafungwa mika 28 kwa kosa kama la Bashite wengine walikuwa wamebakiza mwaka wastaafu mafao yao yote wanakosa ila kwa sababu ya double standards blood fool wewe huyaoni yote hayo? Halafu mnamalizia kwa kusema msema kweli mpenzi wa Mungu! and God is watching you in 3D.
Ndugu yangu jibu hoja za watu wengine na siyo kutukana. Gwajima si lolote, angekuwa mkweli angethibitisha kwa kuvionesha vyeti badala ya kubwatuka kanisani kwake badala ya kuhubiri. Nani ambaye Mungu atamtizama kwa jicho la hasira? Yule anayetumia mimbari takatifu kuhubiri chuki za kisiasa? Au Yule ambaye anahangaika kuwaokoa watu na matumizi ya Mihadarati ? Ogopa Mungu usimtaje bure bure.Mungu SIYO Shemeji yako. Kama unaamini kuwa Mungu ni Mkuu, acha kuleta utani juu ya jina hili takatifu.
 
adai Ana ushahidi Daudi bashite aka ..RC alipiga zero.

movie inaenda patamu
Sijui Gwajima anataka kutufahamisha nini anaposema division zero. Namfahamu Profesa mmoja wa Kenya ambaye alifeli form iv alipata hiyo zero na hata A level hakusoma lakini hivi sasa ni Profesa na kuna Mtanzania mwenzetu ni Profesa USA aliondoka hapa TZ miaka ya 1980 alifanya kazi THB, akiwa na cheti chake ya kumaliza tu form iv leo ni Profesa tena anafundisha vyuo vya USA. Hizo division 1,2,3, 4, na Zero ni namba tu kama umri miaka 50, 60 n.k.
 
Ukijaribu kuunganisha matukio ni dhahiri hii inshu ya Makonda kughushi vyeti inaelekea kuwa na ukweli ndani yake.

Mtu nayekisiwa kumuuzia cheti cha kidato cha NNE wakati akikanusha alidai kuwa yeye haitwi Paul Christian Makonda Bali anaitwa Paul Pierre Christian Kagenzi (mhaya). Anayetajwa kumuuzia cheti Bashite ni Paul Christian Muyenje. Majina mawili yamefanana. Sitaki kuzungumzia hayo mengine maana huenda tayari mahakama ilishafanya kazi yake , ukizingatia kuwa hili suala wao walilijua miaka nenda rudi na pengine walijuwa kutokubadilisha majina kunaweza kuwa na athari kubwa kwao hapo baadae.

Taratibu ukweli utabainika
 
Za kunyapia nyapia inasemekana eti Paul Makonda a.k.a Daud Bashite alifukuzwa shule akiwa pamba secondary na kuamriwa na bodi ya shule Arudi kufanya mtihani tu wa kidato cha NNE na ndo ikawa sababu yake ya kupata fa fa fa fa masomo yake yote. Wale wajuvi wa mambo wanadai eti alifanya kosa kubwa sana ambalo halivumiliki hata kama wewe ungekuwa mkuu wa shule hiyo. Kwa kuwa mashilawadu waliosoma nae wamo humu watatuambia kwa undani zaidi ni kosa gani kubwa kiasi hicho alilifanya Daud Bashite?
Karibuni mtupe ukweli.
Nimemaliza kazi yangu ya kuibua swala kutoka gizani kuja mezani.
Ni Mimi Rais wenu.
Rais2020.
 
Back
Top Bottom