Mimi naona yeye ndio kadanganya , mkuu iwapo unamfahamu aliyedanganya ni vyema uwe mzalendo kwa taifa lako,kwa kuwafichua hao wadanganyifu. Ni dhahiri kwenye hili upo udanganyifu.Kwani Makonda ndo kadanganya?
Mimi naona yeye ndio kadanganya , mkuu iwapo unamfahamu aliyedanganya ni vyema uwe mzalendo kwa taifa lako,kwa kuwafichua hao wadanganyifu. Ni dhahiri kwenye hili upo udanganyifu.Kwani Makonda ndo kadanganya?
Tunaendelea kusubiri.Endeleeni kusubiri hivo vyeti hapo hapo Subirini, muwe wavumilivu kuendelea kusubiri
Wewe hapo lete chetiWaterloooooooooo
Unataka kunisukuma nikafungue alerts zilizojazana huko za leo, ukikosa nitashangaaa.
Ha ha ha haaaaaaaaa
Pia sijui nani anatakiwa kukuletea cheti.
Inabidi wajazwe sumu ila waprove kuwa sivyo.unaweza kuwa na point, lakini lugha uliyotumia kufikisha ujumbe wako si nzuri. Huwezi kutaja wabunge na kuwafananisha na mbwa koko. Didnt like it.
Sio tu kututelekeza, yaani anatamani tungepakwa upupu au tukalowekwa kwenye acid. Utu wa kiongozi huanzia kwenye familia yake, ukikosekana huko the rest mjue ni shida.Kuna saa ukifatilia sana mambo ya nchi hii utapandwa na hasira ya hali ya juu.. yani watanzania kama vile tumetelekezwa na mwenye nchi..