Mwanafunzi aliua? Alimuua nani mwanafunzi mwenzake/mwalimuHata mi nimeskia hivo, na aliua pia
Haya mastori ungewapa akina soudy brown jana usiku, hapa si mahali pake!!wanaume wa Dar at their best!Za kunyapia nyapia inasemekana eti Paul Makonda a.k.a Daud Bashite alifukuzwa shule akiwa pamba secondary na kuamriwa na bodi ya shule Arudi kufanya mtihani tu wa kidato cha NNE na ndo ikawa sababu yake ya kupata fa fa fa fa masomo yake yote. Wale wajuvi wa mambo wanadai eti alifanya kosa kubwa sana ambalo halivumiliki hata kama wewe ungekuwa mkuu wa shule hiyo. Kwa kuwa mashilawadu waliosoma nae wamo humu watatuambia kwa undani zaidi ni kosa gani kubwa kiasi hicho alilifanya Daud Bashite?
Karibuni mtupe ukweli.
Nimemaliza kazi yangu ya kuibua swala kutoka gizani kuja mezani.
Ni Mimi Rais wenu.
Rais2020.
We Tulia wewe, chungu kinachemka Baba Bashite we uliyataka mwenyeweMwanafunzi aliua? Alimuua nani mwanafunzi mwenzake/mwalimu
itakuwa mnatoka kijiji kimoja koromijeMtakuwa mnahusika na madawa ya kulevya na Makonda kawashika pazuri.
Inaonekana wewe ni mdogo wake na Bashite. Siyo Bure.Duh, yaani wabongo wanafiki balaa, na huu uzi utachangamkiwa kuliko nyuzi zenye tija kwa jamii, and they're quick to blame the government for their misery. Inataka moyo kuongoza jamii yenye wapuuzi
DRUGS HAIWEZI KUWA SABABU YA KUVUNJA SHERIA. WOTE WANAOTUMIA, WANOSAMBAZA NA WANAOUZA PAMOJA NA HUYU MWENYE CHITI CHA MTU WANA MAKOSA YA JINAI NA WANAPASWA WAWE GEREZANI!Mtakuwa mnahusika na madawa ya kulevya na Makonda kawashika pazuri.
Hivi Moderator upo makini au unataka Jamaa tena wakufundishe kazi!!!!!!!!Hata mi nimeskia hivo, na aliua pia
Yani yeye kakopi kutoka kwa mtu mwenye tetesi kaleta humu...Kumbe hata tatzo lenyewe haulijui umenukuu aliyokuwa anayasema dkt gwajima

Kama alivyomshika riz1Mtakuwa mnahusika na madawa ya kulevya na Makonda kawashika pazuri.
Wahusika wa Madawa ya kulevya wako rumande au jela. Huwezi kuhusika ukawa Uraiani.Mtakuwa mnahusika na madawa ya kulevya na Makonda kawashika pazuri.
Wewe kiazi kweli. Nimeamua kuuweka mjadala wazi(open). Sijaufunga(closed) ili kubana uelewa wa watu juu ya kosa lililomfukuzisha. Kwa taarifa yako tunajua kwa nini alifukuzwa. Soma comments za wadau walio wengi na ndio hicho tunachokijua. Sisi ni watu wa mwanza. Tunajua kila kitu.Yani yeye kakopi kutoka kwa mtu mwenye tetesi kaleta humu...
People shud be serious sometymz....![]()
![]()
![]()
![]()
Kama unajua kila kitu weka wazi basi wengine tufahamuWewe kiazi kweli. Nimeamua kuuweka mjadala wazi(open). Sijaufunga(closed) ili kubana uelewa wa watu juu ya kosa lililomfukuzisha. Kwa taarifa yako tunajua kwa nini alifukuzwa. Soma comments za wadau walio wengi na ndio hicho tunachokijua. Sisi ni watu wa mwanza. Tunajua kila kitu.
Mtakuwa mnahusika na madawa ya kulevya na Makonda kawashika pazuri.


Humu sasa wamejaa wanafunzi kama mtandao wa Tigo ,ngoja nichungulie account zangu za twita na FbKama unajua kila kitu weka wazi basi wengine tufahamu