Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Makonda uchunguzi wake utakuwa kama ifuatavyo.
tunajua amesoma shule gani primary na secondary(PAMBA)
tunahitaji kuona cheti chake au result slip yake ya secondary
  1. je result slip au cheti chake cha secondary kinaonyesha amemaliza shule gani?
  2. JE alivyoenda kuapa mahakamani kubadilisha jina alienda kubadlisha jina gani
  3. alienda kubadilisha kutoka DAUDI BASHITE to PAULO MAKONDA au ni vipi
  4. je cheti chake cha form 4 kina jina la DAUDI BASHITE au PAULO MAKONDA
  5. mzazi wake nae pia alibadili jina PIA ?
  6. SiKu aliyokuwa anahOjiwa na ZAMARADI alikuwa anajitambulisha kama mzee MAKONDA.
  7. Ikiwa result slip/cheti chake cha form four kinaonyesha amemaliza PAMBA
  8. Je hiyo result slip/cheti kinaonyesha amepata DIVISION GANI?
  9. Ikiwa amepata division BASHITE je? ilikuwaje akajiunga na chuo? alitumia cheti cha mtu au chuo kilimkubalia hivyo hivyo na BASHITE YAKE?
  10. saasa ikiwa amepata division 3 tena hapo itakuwa amri kutoka majuu itakuwa imefanya kazi au GWAJIMA AU MANGE wametuletea habari ya uwongo.
  11. sasa mahakama makini ya wananchi haitoishia hapo tutawatafuta waliomaliza mwaka ule aliomaliza MAKONDA
  12. hawa waliomaliza na MAKONDA /BASHITE watatuambia muongo ni nani
 
Mleta mada acha kujifanya hamnazo. Kubadilisha jina sio tatizo ni haki ya mtanzania yeyote kufanya hivyo akipenda. Hoja ya msingi ni vipi mtu abadili jina na matokeo yake ya F.IV yabadilike? Utaratibu wa wapi huo? Hebu rudi kwenye akili zako za kawaida ulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu halafu ujiulize inakuwaje.
 
Makonda uchunguzi wake utakuwa kama ifuatavyo.
tunajua amesoma shule gani primary na secondary(PAMBA)
tunahitaji kuona cheti chake au result slip yake ya secondary
  1. je result slip au cheti chake cha secondary kinaonyesha amemaliza shule gani?
  2. JE alivyoenda kuapa mahakamani kubadilisha jina alienda kubadlisha jina gani
  3. alienda kubadilisha kutoka DAUDI BASHITE to PAULO MAKONDA au ni vipi
  4. je cheti chake cha form 4 kina jina la DAUDI BASHITE au PAULO MAKONDA
  5. mzazi wake nae pia alibadili jina PIA ?
  6. SiKu aliyokuwa anahOjiwa na ZAMARADI alikuwa anajitambulisha kama mzee MAKONDA.
  7. Ikiwa result slip/cheti chake cha form four kinaonyesha amemaliza PAMBA
  8. Je hiyo result slip/cheti kinaonyesha amepata DIVISION GANI?
  9. Ikiwa amepata division BASHITE je? ilikuwaje akajiunga na chuo? alitumia cheti cha mtu au chuo kilimkubalia hivyo hivyo na BASHITE YAKE?
  10. saasa ikiwa amepata division 3 tena hapo itakuwa amri kutoka majuu itakuwa imefanya kazi au GWAJIMA AU MANGE wametuletea habari ya uwongo.
  11. sasa mahakama makini ya wananchi haitoishia hapo tutawatafuta waliomaliza mwaka ule aliomaliza MAKONDA
  12. hawa waliomaliza na MAKONDA /BASHITE watatuambia muongo ni nani
Alete cheti
 
Kuna mtu humu anajiita LIZABONI yeye amekuwa anajiita mfia chama Na amekuwa penye ukweli hachangii ila penye uongo , fitina Na majungu anachangia sana.Nilitegemea UVCCM kutoa tamko la Vyeti Feki vya Bw.Makonda lakini wamekuwa kimya kama vile hawapo lingekuwa la Chadema tungesikia wametoa tamko la kulaani lakini Mungu Kwa kuwa ni wa wote limekuwa la Kada wao.Huyu Lizaboni utadhani hajasikia la Makonda amekaa kimya ila la Lissu au Lema angejaza kurasa.Kama kweli wewe ni mfia Chama ibuka huko mafichoni Lizungumzie uwezavyo.CCM OYEE
 
anajua kuwa bashite ana cheti cha darasa la saba tu chenye jina lake
 
Back
Top Bottom