laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
usiku huu badala ya kulala unamfikiria mwanaume mwenzako hivi una matatizo gani? huna kitanda?
usiku huu badala ya kulala unamfikiria mwanaume mwenzako hivi una matatizo gani? huna kitanda?

Hiki kitu kinatia hasira sana kwa mtu anayependa haki bin haki.usiku huu badala ya kulala unamfikiria mwanaume mwenzako hivi una matatizo gani? huna kitanda?
Mkuu wa mkoa kuwa class one sio tatizo, tatizo hapa ni kuiba vyeti na kuvitumia, Bashite atuonyeshe vyeti

Huku kwetu kuna msemo maarufu "Pesa imekuwa ngumu haionekani, haishikiki kama vyeti vya bashite"
Hakuna namna, hakuna jinsi, bora uonekane una wivu, au umetumwa na wauza unga kuliko kuufumbia macho uozo huu. Kuuza unga ni kosa, kufoji au kutumia vyeti vya mtu ni kosa, wote wanapaswa kuchukuliwa hatua.
Msaada peeke kwake kwa mtu yeyote anayempenda, anayemhurumia, anaemjali ni kumwambia akae pembeni na sio vinginevyo maana mpaka sasa kuonyesha vyeti ni sawa na mchana kuwa usiku na usiku kuwa machana.
Le Mutuz..Hahahahaaaa, bado unasambaza chuki
Kaa chini jipige vibao ni dawa nzuri kumaliza hasira, wivu, uvivu, tamaaaa
Ni kama umekaa ukakosa kitu, ukamkumbuka Kiongozi jembe wa Taifa, endelea kufata mkumbo au endelea kuvuta wapenda fata mkumbo.
Hahahaaaaaaaa, kweli ni kiboko ya wengiii hahahaaaa
Hapa kazi tu
hakuna anaekuhamisha nazungumia kuchanga MADA, issue ya vyeti na Madawa visiwekwe pamoja. hizo ni mada mbili tofauti zote zina mashiko.Wewe usituhamishe mada kwa madawa ya kulevya mkurugenzei wake kateuliwa na anaendelea na majukumu yake hapa ni BASHITE tu aonyeshe vyeti baasi ndo kazi tu
Huyo boya kapata bahati. Ingekuwa jeshini tungempiga risasi nyingi sana. Nasikitika kuona kilaza bado kakalia ofisi ya ummaNgoja waje wenyewe