Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

hajaibiwa alimuuzia
Uuziwe upewe bure ama uibe vyeti ni forgery na hukumu yake sio chini ya miaka saba mpk 15. Kwanini isifunguliwe kesi dhidi yake? Wanasheria wa upinzani wako wapi? Wamekuwa watetezi wetu kwa muda mrefu hili vipi? Je akikataa kuonyesha vyeti kama anabyotakiwa au rais asipomuwajibisha kwa sab ya kukosa ushahidi ina maana ataendelea kuongoza na tuhuma isiyosafishwa?
 
Ni kweli fungueni kesi basi aje atoe ushahidi kwa amri ya mahakama.
hahahaha wewe unajitekenya na kujichekesha mwenyewe............. si alikuwa anajifanya mjivuni kila kitu klauds kikikiki kwakweli shule ni muhimu sana na pia kuishi na wanadamu wenzako kwa amani ni vyema sasa kwenda kujiliza huko makanisani ni ili ahurumiwe ama nini
 
Uuziwe upewe bure ama uibe vyeti ni forgery na hukumu yake sio chini ya miaka saba mpk 15. Kwanini isifunguliwe kesi dhidi yake? Wanasheria wa upinzani wako wapi? Wamekuwa watetezi wetu kwa muda mrefu hili vipi? Je akikataa kuonyesha vyeti kama anabyotakiwa au rais asipomuwajibisha kwa sab ya kukosa ushahidi ina maana ataendelea kuongoza na tuhuma isiyosafishwa?


hahahaha aje hapa kesi ipo tayari kwani kesi kitu gani wewe unajibaraguza hapa ilhali wajua kabisa kafoji cheti ama ndo kaenda kukifohji lakini jinsi watz wanahasira na matendo yake ya kujifanya yeye ni mungu watafukunyua apaka uchagoni mwa kitanda watalea na kunguni wa kitanda chake
 
hahahaha wewe unajitekenya na kujichekesha mwenyewe............. si alikuwa anajifanya mjivuni kila kitu klauds kikikiki kwakweli shule ni muhimu sana na pia kuishi na wanadamu wenzako kwa amani ni vyema sasa kwenda kujiliza huko makanisani ni ili ahurumiwe ama nini
Mbona hujibu hoja yangu?
 
hahahaha aje hapa kesi ipo tayari kwani kesi kitu gani wewe unajibaraguza hapa ilhali wajua kabisa kafoji cheti ama ndo kaenda kukifohji lakini jinsi watz wanahasira na matendo yake ya kujifanya yeye ni mungu watafukunyua apaka uchagoni mwa kitanda watalea na kunguni wa kitanda chake
Mtandaoni ni mahakamani?
 
Uuziwe upewe bure ama uibe vyeti ni forgery na hukumu yake sio chini ya miaka saba mpk 15. Kwanini isifunguliwe kesi dhidi yake? Wanasheria wa upinzani wako wapi? Wamekuwa watetezi wetu kwa muda mrefu hili vipi? Je akikataa kuonyesha vyeti kama anabyotakiwa au rais asipomuwajibisha kwa sab ya kukosa ushahidi ina maana ataendelea kuongoza na tuhuma isiyosafishwa?
watakuwa wanatafuta ushahidi
 
watakuwa wanatafuta ushahidi
Vizuri ngoja tusubiri binafsi ningefurahi kama angefikishwa mahakamani sheria ifuate mkondo wake akikutwa na hatia afungwe iwe fundisho kwake na wengine. Nashangaa kuona siku zote hizi wanasheria watetezi wa umma kama tundu lissu kibatala na wengine hawajaliweka suala hili kisheria.
 
Vizuri ngoja tusubiri binafsi ningefurahi kama angefikishwa mahakamani sheria ifuate mkondo wake akikutwa na hatia afungwe iwe fundisho kwake na wengine. Nashangaa kuona siku zote hizi wanasheria watetezi wa umma kama tundu lissu kibatala na wengine hawajaliweka suala hili kisheria.
Wanamtege mkuu
 
Aoneshe kwani vyake au vya bashite??

Pia Umejaribu kumtetea Bashite lakini bado uteteze auna Tija

Makonda kama anajiamini Na anauwakika na elimu yake kwann Asiweke uwalali wa elimu yake

Kwaiyo kisa makonda kateuliwa. Na raisi ndio hatuna mamlaka ya kumjaji??

Au kuteuliwa na raisi nisababu ya kuuongopea umma??

Ninavyo mjua makonda nimpenda sifa sanaa angekua kweli Anaelimu yahaja lazima angelizima iliswala la vyeti kwambwembwe zoote cloud's lakini huwezo huo hanaa

Hatukotayari kuongozwa nakiongizi asie muadilifu
Kwanza nikupe pole kwa kutokuwa na uwezo wa kung'amua mambo ikiwa ni pamoja na kutojua shughuli za mamlaka husika. Hivi, kati ya Paul Makonda na Gwajima ( hapa nashindwa kumuita MCHUNGAJI maana nimeshamuona kama ni wale wchungaji wajanjawajanja) ni nani mwenye mamlaka makubwa kuliko mwenzie??
PAUL MAKONDA alimuamrisha GWAJIMA ajipeleke mwenyewe kituo kikuu cha Polisi hapa Dar es Salaam na Kweli Gwajima alienda na kuswekwa ndani ikiwa ni pamoja na kushurutiswa kupima damu yake na kama angekataa kwenda, cha moto angekiona. Sasa je, Gwajima anao uwezo wa kumuamrisha Paul Makonda (Mkuu wa mkoa) ili afanye jambo lolote analolitaka Gwajima??
GWAJIMA sijui kama analijua hili analolifanya. Ni kwamba, vita anayoiendesha siyo dhidi ya Paul Makonda kama Makonda, Gwajima anaendesha vita dhidi ya Rais John Pombe Magufuli mamlaka iliyomteua. Rais alishawaagiza wakuu wa mikoa wote kusimamia vita dhidi ya madawa ya kulevya. Kwa hiyo haya ni maagizo kutoka kwa Rais na ndiyo maana unaona wote wameamua kumpuuza Gwajima na kukaa kimya na hata mimi nimempuuza.
Huyu Gwajima ni muhongo sana. Huyu miaka kadhaa aliwahi kuwadanganya wahumini wake kuwa angeweza kumfufua marehemu AMINA CHIFUPA na kurudisha MISIKULE. Hadi leo Amina Chifupa hajawahi kufufuka wala hiyo misikule kurudushwa.
Kama kweli huyu Gwajima ni mkweli na anasema kuwa anavyovyeti vya DIVISION O wakati baraza la mitihani halitoi vyeti hivyo, ni kwa nini asivionyeshe hivyo vyeti ili umma ukaviona.
YESU KRISTO alishatutahadharisha kuwa nyakati za mwisho kutatokei MANABII WA UONGO, sasa ndiyo tunaanza kuwaona.
 
Naona mmeanza kugeukana. Wenzako wanasema Makonda kaiba vyeti, wewe unasema kanunua! Lazima mvurugane mwaka huu
Wewe dada Eliza wacha kupiga mayowe, mwambie huyo hawara yako aweke mezani vyeti vyenye jina la Daudi Alubati Bashite mengine yote kutupotezea muda tu!! Wewe nilishakwambia hunaga akili wewe!!
 
Huku kwetu kuna msemo maarufu "Pesa imekuwa ngumu haionekani, haishikiki kama vyeti vya bashite"

Hakuna namna, hakuna jinsi, bora uonekane una wivu, au umetumwa na wauza unga kuliko kuufumbia macho uozo huu. Kuuza unga ni kosa, kufoji au kutumia vyeti vya mtu ni kosa, wote wanapaswa kuchukuliwa hatua.

Msaada peeke kwake kwa mtu yeyote anayempenda, anayemhurumia, anaemjali ni kumwambia akae pembeni na sio vinginevyo maana mpaka sasa kuonyesha vyeti ni sawa na mchana kuwa usiku na usiku kuwa machana.
 
Back
Top Bottom