Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

We unadhani anafurahi kukaa kwenye apartment kama choo mitaa ile Na kutwa kucha kujiita baby Na mtumbo huo na kuishi kwa blog usiyojulikana eti lemutuz
 
Baada ya kuwasikiliza sana watetezi wa Bashite D. A. nimegundua bila shaka huyu jamaa hana cheti cha Form Four na alitumia cheti si chake.

Katika mada moto jana channel ten nilimsikia Mzee mmoja akisema Makonda ana vyeti halali vya Diploma na digrii, hivyo cheti cha Form Four hakina maana! Na Albert Kilala alikuwa anamuongoza huyu mgeni wake kwa maswali kama, " kama utendaji wa mtu ni mzuri, cheti kina umuhimu? "

Ndipo Mzee yule akasema rais angalie kama anahitaji vyeti au utendaji bora.

Na akamshauri rais asihangaike na cheti cha Bashite bali aangalie utendaji wake, after all ana digrii za halali, hivyo cheti cha Form Four kinakuwa rendered irrelevant!

Kingine kilichonidhibitishia kwamba Makonda hana cheti cha F4 ni maungumzo ya "mdogo wake Gwajima" hasa aliposema serikali imesikia hivyo ziachiwe mamlaka husika badala ya kuendelea kumsakama Bashite. Nini maana yake? Bashite ana njia rahisi sana ya kuwanyamszisha wanaomtuhumu lakini haitumii, yaani kuweka vyeti mezani!

Utetezi huu wote unaonesha wazi cheti cheti cha Bashite kina mushkeri!

Yote tisa, kumi ni pale serikali ilipoamua kuitisha wale waliofukuzwa kwa sababu ya vyeti ili wafikiriwe kurudishwa kazini. Hii maana yake nini?

Ni kutaka kuipa nguvu hoja kwsmba kama utendaji wa mtu uko vizuri vyeti vya elimu za sekondari sio ishu. Kama alifaulu masomo ya chuo basi haina maana kuhangaika na vyeti vyake vya sekondari. Yote hii ni katika kutafuta njia ya kumwokoa mtoto mpendwa sana wa Bwana Mkubwa!

Hoja hii ya kujali utendaji zaidi ya vyeti vya sekondari ilishawahi kutolewa na watu wengi lakini serikali haikusikiliza wakaendelea na utsratibu wa kyachisha kazi watu ambao hawakuwa na vyeti vyz sekondari.

Sasa yamewakuta wameanza kurudi nyuma kwa aibu.

Binafsi, yote haya yananifanya niamini bila shaka kwamba Bashite alifoji cheti cha F4
 
Duh.!
Kajamaa kana mganga mkali yaani watu wanaanza kupotezea mwisho watasahau kama kipindi cha ishu ya Kapuya na yule binti.!
 
Baada ya kuwasikiliza sana watetezi wa Bashite D. A. nimegundua bila shaka huyu jamaa hana cheti cha Form Four na alitumia cheti si chake.

Katika mada moto jana channel ten nilimsikia Mzee mmoja akisema Makonda ana vyeti halali vya Diploma na digrii, hivyo cheti cha Form Four hakina maana! Na Albert Kilala alikuwa anamuongoza huyu mgeni wake kwa maswali kama, " kama utendaji wa mtu ni mzuri, cheti kina umuhimu? "

Ndipo Mzee yule akasema rais angalie kama anahitaji vyeti au utendaji bora.

Na akamshauri rais asihangaike na cheti cha Bashite bali aangalie utendaji wake, after all ana digrii za halali, hivyo cheti cha Form Four kinakuwa rendered irrelevant!

Kingine kilichonidhibitishia kwamba Makonda hana cheti cha F4 ni maungumzo ya "mdogo wake Gwajima" hasa aliposema serikali imesikia hivyo ziachiwe mamlaka husika badala ya kuendelea kumsakama Bashite. Nini maana yake? Bashite ana njia rahisi sana ya kuwanyamszisha wanaomtuhumu lakini haitumii, yaani kuweka vyeti mezani!

Utetezi huu wote unaonesha wazi cheti c
Ameshaweka mezani
 
Aweke mezani vyeti vya kidato cha ine.

Kama ni utendaji hata wasukuma mikokoteni na makuli ni watendaji wazuri kupita maelezo.
 
Hili gari tulilopanda mwaka 2015 lina shida sana tangu tumeanza safari kusuasua kumezidi, maana linawasha na kuzimwa , linaenda mbele kidogo baada ya muda kidogo lina reverse, sijui shida ipo kwa dereva wetu Dr Yohana au mfumo mzima wa gari haupo sawa.
 
Hili gari tulilopanda mwaka 2015 lina shida sana tangu tumeanza safari kusuasua kumezidi, maana linawasha na kuzimwa , linaenda mbele kidogo baada ya muda kidogo lina reverse, sijui shida ipo kwa dereva wetu Dr Yohana au mfumo mzima wa gari haupo sawa.

Ha ha ha
 
James mbatia amevunja ukimya baada ya kuona kuna baadhi ya viuonhozi wa umma wanabebwa bila kukaguliwa vyeti na badae kupewa likizo waende nje ya nchi kuvuriga Upepo
6a7ffffd16cf30057073af10478987bc.jpg
890db71050ac545cbed91a68f64151ae.jpg
03ca35acb173ac257f11c3b1a9eece1c.jpg
 
JPM juu ya suala la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda Bashite nisikufiche
  1. Unatuchosha
  2. Unatuzingua
  3. Hatukuelewi
  4. Unatuchanganya
  5. Unatupandisha tu hasira
  6. Utatufanya tusikuelewe na Wewe pia
  7. Unatutia mashaka
Hivi huyu Makonda Bashite una jambo gani nae la SIRI Mheshimiwa Rais JPM? Unataka Watu tuandamane uchi wa mnyama huko Mitaani kukuonyesha hisia zetu kuwa hatumtaki tena huyu Mkuu wa Mkoa wako Paul Christian Makonda Bin Daud Albert Bashite?

Mbona unatudharau hivi wana Dar es Salaam? Mbona Mama Anne Kilango Malecela hukumchelewesha hivi?

Rais JPM tafadhali mtumbue haraka Mkuu wako wa Mkoa wa Dar es Salaam kwani kwa niaba ya Wana Dar es Salaam wote HATUMTAKI na AMESHAANZA KUTUKINAI.
 
Hacha kuropokwa tumia kaul za heshma kumbuka yule rais...kama n mgeni na uandsh acha....ndomana unaona post yako haina watu maana hujielew
 
Back
Top Bottom