Mayor Slum
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 772
- 1,172
Acha utotusi umtaje kama una ushahidi unaogopa nini
Acha utotusi umtaje kama una ushahidi unaogopa nini
Job yako ni kujipinda na kuandika upuuzi humu JF; no wonder ni nchi ya vwonderEndeleeni kupiga kelele majobless
Days ago,,,,,,Bunge lina hasira limelimbikiza kuhusu wito wake kupuuzwa na Daudi.
Maringo ya Bashite ni ya muda tu.
Bahati nzuri Bunge hili La sasa limepoteza uvyama, haswa katika swala LA ubashite...
Time is ticking..tik tak
![]()
Wakudadavuwa akitokea Songwe atatetea na kale kasauti kake kanako ezakumtoa nyoka pangoniMimi ndie nitatoa hoja ya kumjadili wait
Ila Bashite ni mfalme wa vilaza, division zero!!Bongo hakuna bunge, kuna genge la wahuni wanajiita wabunge!
Mbaya zaidi wanaitwa waheshimiwa wakati wengi wao ni vilaz.