Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Sidhani kama hili la bashite ni gumu kama uchaguzi zanzibar, lema kukaa ndani mienzi minne na mengineyo. Kifupi Pogba anafanya anachotaka hakuna wakufanya chochote.
 
gwajima weka vyeti hapa online watu tudownload kabla hawajakuja kukupekua.
Hata yeye Hana Vyeti vya taaluma yake ya Uchungaji,, Uchungaji siyo kama Ushekh , Lazima Mchungaji aende akapige shule katika vyuo vya kichungaji hebu aweke naye hivyo Vyeti vya Uchungaji wake ,,

Asipoweka tutajua kuwa kumbe watu wa Namiloje wana tatabia za kufann za wizi wa Vyeti vya taaluma,,
 
Hata yeye Hana Vyeti vya taaluma yake ya Uchungaji,, Uchungaji siyo kama Ushekh , Lazima Mchungaji aende akapige shule katika vyuo vya kichungaji hebu aweke naye hivyo Vyeti vya Uchungaji wake ,,

Asipoweka tutajua kuwa kumbe watu wa Namiloje wana tatabia za kufann za wizi wa Vyeti vya taaluma,,
huo unaouongelea wewe ni uchungaji wa mshahara, sio uchungaji wa wito. uchungaji wa wito hauhitaji shule bali wito. angalia mitume wote tangu kitabu cha mwanzo hadi ufunuo kama walienda shule ya Bible. waliitwa na kupakwa mafuta tu kwasababu anayeongoza ni Mungu ndani yao wala sio elimu waliyoipata skuli.
 
  • Thanks
Reactions: lds
Wanabodi
Salaam;
Nakumbuka tamko la mkuu wa kaya wakati ule wa kuwaondoa wanafunzi waliokuwa wanasoma kozi maalum chuo kikuu cha Dodoma. Mkuu wa kaya aliongea kwa msisitizo na kuwaita wanafunzi wale vilaza.

Sakata lililoibuliwa kumhusu mteule wake Daud Bashite,ambae amekuwa akisifiwa hadharanj,limesababisha issue ya uhakiki wa vyeti na kuwaita wengine vilaza vyote vimetiweka mdomoni mwa mkulu.

Ili kumkingia kifua na kupata fedheha kwa sasa watu wenye vyeti feki wasiwe na shaka hilo zoezi halitakuwepo tena na yule mama ndalichako ambae hapa ndo tulimpigia debe ataondoka ktk hiyo wizara muda si mrefu..!!
 
Hata Ndalichako kapigwa ganzi(in Musukuma's voice)
 
breaking news
Tanzania yasema kutumia vyeti feki au cheti cha MTU mwingine kijiendeleza au kufanyia kazi si kosa LA jinai, hayo yamesemwa wakati wa ziara yake huko misungwi Call me J
 
The rule in the animal farm is crystal clear!!

" All animals are equal, but some are more equal than others"
 
mpaka darsa la nne alifeli? huyu kweli kilaza, nikikumbuka alivyokua anawanyanyasa watumishi wa umma katika ziara zake, kweli vilaza wana mbwem bwe
 
Cheti cha zero hakipatikani Ndio sababu hata CCM wakisema Mbowe Ana zero ya form six huwa hawa semi cheti wanacho. Ukiwa Miongo uwe na Kumbukumbu.


Wekeni hadharani hayo Matokeo halisi ya Makonda na ya kughushi!

Mtu Mwenye akili akisikiliza vizuri hiyo audio utasikia namna ya usanii wa Gwajima kwa mfano anajiepusha kwa kutumia Maneno Kama vile a Wana Yule au Kiumbe Yule au kujifanya kasahau Jina la Makonda then Waumini ndio wanataja kwa Sauti then yeye anaendelea kutoa Maelezo. Huu ni aina ya Uongo ambao unausambaza kwa Njia za Ujanja ujanja ili usiingie kwny Mikono ya Vyombo vya sheriay
hivi wewe kama hizi ni tuhuma makonda asingekaa kimya mpaka leo, kuna ukweli wa hizi tuhuma na kuna watu wamesoma na huyo makonda au Daudi fikiria kwa makini
 
Wanabodi
Salaam;
Nakumbuka tamko la mkuu wa kaya wakati ule wa kuwaondoa wanafunzi waliokuwa wanasoma kozi maalum chuo kikuu cha Dodoma. Mkuu wa kaya aliongea kwa msisitizo na kuwaita wanafunzi wale vilaza.

Sakata lililoibuliwa kumhusu mteule wake Daud Bashite,ambae amekuwa akisifiwa hadharanj,limesababisha issue ya uhakiki wa vyeti na kuwaita wengine vilaza vyote vimetiweka mdomoni mwa mkulu.

Ili kumkingia kifua na kupata fedheha kwa sasa watu wenye vyeti feki wasiwe na shaka hilo zoezi halitakuwepo tena na yule mama ndalichako ambae hapa ndo tulimpigia debe ataondoka ktk hiyo wizara muda si mrefu..!!
tunawasubiria mjengoni huko ndipo pa kumpaka ''NDALICHAKE''

CC: tetty
 
Ww mchungaji gwajima huna haiba ya uongozi ndiyo maana ulimkashi kainali pengo kwa kufikiri kuwa wewe ni safi wakati sio kwenu!!!!!!
 
Kila kukicha unapiga siasa madhabahuni. kwanza serikali inakufumbia macho lakini hujijui.
 
Kama ulijua kuwa alifoji vyeti mbona hukusema mapema. Hizo ni Tabia za kinafiki tu. Makonda chapA kazi. Hoja ya msingi ni vita dhidi ya madawa ya Kulevya na sio vyeti. Mmeguswa pabaya sasa mnaanza rongorongo
 
Back
Top Bottom