Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Waliofukuzwa makazini serikalini kwa kufoji ama kutumia majina wa watu warudishwe kazini mara moja!
It seems the laws apply only for everybody else lakini kwa huyu JOKER Makonda sijui Bashite anapotezewa
Smh
 
Mkuu asingeweza kufuatilia walio na vyeti feki sababu yeye mwenyewe anacho hicho cheti feki Daud Albert Bashite
 
Jamaa manjonjo kibao, personality ya hali ya juu, na confidence ya kufa mtu unaweza kudhani ni bonge la profesa! Profesa la kututoa katika mkwamo wa 50+ years kutuvusha kuingia enzi mpya ya kiuchumi, kijamii, na kisayansi; yaaani next level yaani. Ha ha ha!
 
Mange kimambi ndiye aliyeibua hoja ya RC Paul Makonda kuwa alipofeli kidato cha nne, alitumia cheti cha mtu mwingine kwenda Chuo. Haijajulikana vyanzo vya habari za Mwanadada huyu anayeishi ughaibuni, lakini anaonekana kuwa "active" sana kupata habari za moto moto kutoka Bongo na kuzisambaza.

Askofu Gwajima kwakumwamini sana Mange Kimambi, alizichukua habari zile na kuzisanifu vizuri na kuongezea mbwembwe na kuzihubiri madhabahuni pa Bwana mbele ya wanakondoo wa Mungu. Huku akitegemea kupata "Updates" zingine kutoka kwa Mange, Juu ya vyeti halisi vya Mh. RC kijana zaidi nchini Tanzania aliyepewa dhamana na Mh.Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. JP Magufuli kuliongoza Jiji lenye "population" kubwa zaidi ya watu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati, Jiji la Dar es Salaam Mh.Paul C. Makonda...(mwanzilishi wa vita na mpambanaji dhididi ya madawa ya kulevya) na akahaidi kuviweka hadhalani baada ya siku tatu kwakuwa anavyo ofisini kwake.
Wataaram wa kufasiri mambo wanasema kitendo cha Askofu kumtaka RC amwombe msamaha ndani ya siku tatu lasivyo ataweka vyeti wazi, ndiyo ilikuwa inatambulisha kuwa hana, na ama alikuwa anategemea mtu ampe.

Mange Kimambi naye kule alikotegemea kupata vyeti ili aviweke mtandaoni na kumpa Askofu Gwajima NETWORK imekata.
Mange amenukuliwa ameandika hivii katika acc. yake ya Instagram "I wish I could be NECTA ningesha maliza mchezo"
Kwa kauli hii, Mange hana vyeti na Gwajima hana vyeti..wanategemea huruma ya NECTA..
GWAJIMA AMEACHWA KWENYE MATAA NA MANGE KIMAMBI.
UBARIKIWE MTUMISHI.
Povu la nini Bashite? Weka hata kivuli cha cheti au huna cha kujitetea?

Kama ni siasa zenu za hovyo hayo ndiyo matokeo yake. Itabidi tusahau vwonder
 
Namkubali Makonda kwa uchapakazi.

Agenda zote za serikali ambazo huanzishwa, yeye hukamata kijiti na kuwa Imara. Iwe ni agenda ya watumishi hewa, kutengeneza madarasa na madawati n.k.

Ila katika pitapita zangu sijaona akifuatilia kwa ukaribu uhakiki wa vyeti vya watumishi.

Kiongozi toa vyeti hadharani mambo yaishe. Ukimya mbaya.



mkuu unauliza nini na hiyo youtube ni ya nini?

acheni madawa jamani
 
Jamaa manjonjo kibao, personality ya hali ya juu, na confidence ya kufa mtu unaweza kudhani ni bonge la profesa! Profesa la kututoa katika mkwamo wa 50+ years kutuvusha kuingia enzi mpya ya kiuchumi, kijamii, na kisayansi; yaaani next level yaani. Ha ha ha!
Hivyo ndo vilivyomsaidia kufika hapo alipo
 
Yani KILAZA atuongoze?Hapana huyo KIHIYO mtafutieni pa kwenda
 
Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Walikuwa kuwakagua vyet watumishi wengine kabla hawajawaajili. Kama anaonewa, watumishi waliofukuzwa makazini kwa sababu ya vyeti feki hawakuonewa
 
Makonda please come out clean. Ila vipi taasisi za mitihani zimekaa kimyaaaa. Ila Dr Magufuli najua ataguatilia
 
je kuhuzu dar kuburuza mkia kwa kuibuka na zile shule sita zilizong'ang'ania mkiani matokeo ya kidato cha nne 2016 yaliyotoka karibuni .hapa alisemaje ?
Wewe umeshaambiwa katika maisha ya shule ya msingi alifeli mara 2 mtihani wa darasa la nne na la 7 pia.Makonda hajawahi kuwa muhumini wa elimu.
 
Back
Top Bottom