Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Jana upuuzi huu
leo umerudia ku copy !!
Imesha buma
mwambieni kwanza Mbowe aonyeshe vyeti walau vya lasaba tu
Kwani umeambiwa Mbowe anatumia.jina la kununua?? Mmejiliza kanisani kisa mnaogopa kwenda jela unasingizia Mke wangu siyo RAIA.Mbona mnawapeleka wenzenu masaa 48 zamu yenu kuona jela.
Jela miaka saba inawasubiri hata mile vipi. Halafu ukapime hizo Sugu kama ziko zote.