Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Wauza Madawa wana tapatapa
Hata kuko kwenye DAMPO Chagadema
Hawatakuwa Salama
awamu hii si mchezo
 
Tupeni updates wageni toka koromije wamefika madhabahuni leo!
 
je kuhuzu dar kuburuza mkia kwa kuibuka na zile shule sita zilizong'ang'ania mkiani matokeo ya kidato cha nne 2016 yaliyotoka karibuni .hapa alisemaje ?
 
Ukiona mtu anajipendekeza kwenye uongozi ujue huyo mtu ana walakini ndiyo maana hajiamini.

Yeye ni upambe tu
 
Bado unakosa usingizi, utasubiri sanaaaaaa.

Naona leo mmesubiri Mchungaji awape hasiyonayo, sasa furahia kutoa sadaka huko utulie.

Eti afanýe kazi za wengine kuhakiki, kituko.

Kaa hapo, yupo na atakuwepo sanaaaa kuwanyoosha.

Makonda oyeeeeeee
 
Wauza Madawa wana tapatapa
Hata kuko kwenye DAMPO Chagadema
Hawatakuwa Salama
awamu hii si mchezo
Nani katangaza vita na kamanda mpambanaji kiongozi na kamishina wa tume ya kupambana na madawa ya kulevya mh Sianga? au mwenyekiti wa tume na wajumbe wake?
Hapa watu wanakumbushia tu ili serikali imalizie uhakiki wa vyeti kwa watumishi wake ili kila mtu apewe nafasi kulingana na anavyostahili. rejea msimamo thabiti wa mh raisi kuhusu vyeti kuhakiwa ili kuondoa wasiostahili kwenye utumishi wa umma.kama ni darada la saba uajiriwe kama darasa la saba na sio kama graduate.
hamkumwelewa mtukufu raisi nini ?
 
Namkubali Makonda kwa uchapakazi.

Agenda zote za serikali ambazo huanzishwa, yeye hukamata kijiti na kuwa Imara. Iwe ni agenda ya watumishi hewa, kutengeneza madarasa na madawati n.k.

Ila katika pitapita zangu sijaona akifuatilia kwa ukaribu uhakiki wa vyeti vya watumishi.

Kiongozi toa vyeti hadharani mambo yaishe. Ukimya mbaya.


Kama kuna watu walipoteza ajira zao kwa sakata la vyeti warudishwe kazini maana hata wao walikuwa wanatekeleza majukumu yao ya kazi kwa weledi.Zoezi la kuhakiki vyeti halita kuwa na maana kama watumishi wengine watabaki kwenye ajira wakati na wao wana sifa tata za elimu.Inawezekana vipi kuhakiki vyeti vya watumishi walioko kwenye mkoa wako wakati na wewe una utata wa vyeti? Waliondolewa kazini kwa sakata la vyeti warudishwe kazini maana hata wao walitumia utashi wao katika kutekeleza agenda za kazi zao walizokuwa wanafanya kwa maslahi ya Taifa.
 
Atoe vyeti vya nani sasa? Vya Paulo au vya Daudi? Mbona mnamchanganya?
 
Kujatisha mzizi wa fitina RC aweke vyeti vionekane. Hakuna haja ya kuwa na baraza la mitihani, watu wasome tu ukimalima umemaliza.
Ili iweje? Yani ajishughulishe na maneno ya mitandaoni ya kina mange ambao hawana kazi? Our makonda is too busy working wacha majobless waendelee kupiga mayowe
 
Ili iweje? Yani ajishughulishe na maneno ya mitandaoni ya kina mange ambao hawana kazi? Our makonda is too busy working wacha majobless waendelee kupiga mayowe
Huu ubize ungeanza wakati anajiandaa na mitihani ingekua bomba sana.
 
Back
Top Bottom