Kizazi labda cha kwako na mama ako ndio amejishushia heshima.Unajua bwana Bashite kwa kifupi hata kama hautotumbuliwa na mkuu ww utabaki kua the most bogus man in the history of Tanzania..sawa atakubeba atakupeti atakufanyeje lkn ukweli bdo upo pale pale kwamba umefoji vyeti na hauna tena thamani mbele ya jamii so kaa ukijua lolote uongealo litadharaulika na kila kizazi kitakudharau so ni busara taratibu achia ngazi fanya mambo yako ikiwezekana kaishi hata Marekani mzee! Kwa Tanzania hauna future tena yani CV umeishaiharibu!
Bado bwana mdogo sana umejiharibia mapema sana kwakweli inatia huruma sana ila na ww ulizidi sana mbwembwe..sasa aibu gani hii kila mtu anajua ww Umefoji vyeti hii ni historia na haitajifuta kaka! Pole ila fanya maamuz magumu ata ukingangania hapo ila wewe kwa sasa hauna thamani yoyote!
Mkuu acha kunyonya kidole tena kono la kushoto duuBongo hakuna bunge, kuna genge la wahuni wanajiita wabunge!
Mbaya zaidi wanaitwa waheshimiwa wakati wengi wao ni vilaz.
Mkuu mbona tunaongozwa na vilaza wengi sana...mbowe,lema,nape,na makonda kama kwel amefoj vyet...kwa hyo sio kitu cha ajabu...Yani KILAZA atuongoze?Hapana huyo KIHIYO mtafutieni pa kwenda
wewe mbuzi tu tena unafaa kwa mchuziKizazi labda cha kwako na mama ako ndio amejishushia heshima.
Sheria zingekua hivyo kama ni kweli hata wale tuliowafunga inabidi tuwatoe wasamehewe tu .Kumuacha huyu ni sawa na kusema kwamba tulikosea kufanya uhakiki Wa vyeti .Hii ni iwapo itathibitika kwamba vyeti hivyo sio vyake kweli.Bashite aachwe for sure anatia huruma asamehewe kama alikosea sehemu na zero yake anafanya na atafanya mambo makubwa mazuri kuzidi hao wenye mavyeti na mavyeti
Tangu Magu aingie madarakani wameshaumia watu wa ngapi kwa wanayoyafanya?Yeye mwenyewe(RC) keshaumiza wangapi?Bashite aachwe for sure anatia huruma asamehewe kama alikosea sehemu na zero yake anafanya na atafanya mambo makubwa mazuri kuzidi hao wenye mavyeti na mavyeti
17.Ajenda na turufu ya upinzani mwaka 2020
We ndo kabsaaa,yaani hata kusoma post zako najudagaJana upuuzi huu
leo umerudia ku copy !!
Imesha buma
mwambieni kwanza Mbowe aonyeshe vyeti walau vya lasaba tu
1. Kwani waliofukuzwa kazi na kufikishwa mahakamani walikuwa wanafanya mambo mabaya?Bashite aachwe for sure anatia huruma asamehewe kama alikosea sehemu na zero yake anafanya na atafanya mambo makubwa mazuri kuzidi hao wenye mavyeti na mavyeti
(Najudaga)We ndo kabsaaa,yaani hata kusoma post zako najudaga
Kama mnaongozwa na hao sawa ila hatuwezi kuongozwa na mtu anayejiita Paulo wkt ni BashiteMkuu mbona tunaongozwa na vilaza wengi sana...mbowe,lema,nape,na makonda kama kwel amefoj vyet...kwa hyo sio kitu cha ajabu...
Mbowe sio siri ni failureJana upuuzi huu
leo umerudia ku copy !!
Imesha buma
mwambieni kwanza Mbowe aonyeshe vyeti walau vya lasaba tu
Jana upuuzi huu
leo umerudia ku copy !!
Imesha buma
mwambieni kwanza Mbowe aonyeshe vyeti walau vya lasaba tu