Kuwa na aibu wewe, umenunua Cheti. Kila ukiulizwa unasema mtandao wa madawa wanakufatilia..!!
Kuwa na aibu wewe, unakitia aibu chama chetu..kosa siyo kupata ziro..kosa kwanini unatumia Cheti cha MTU. Humu mitandaoni tunaonekana ccm wote tunaakili za kibashitebashite. Haiwezekani ununuaji wako Cheti uharibu image ya chama na Rais: jiuzulu usitie aibu chama na Rais.
Mheshimiwa Rais mtoe huyu kijana inaonekana unadouble standard ..!! Sisi tumekupigia kura, haiwezekani wengine uwatumbue sembuse huyu. Rais huyu anaharibu image ya Urais. Ukimwacha utaleta mtikisiko bungeni.