CHIMBULI WA CHIMBULI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 468
- 160
Ngosha hawezi mtumbua Bashite ni nyoka mzuri kwake
Mjinga nanihiliyuu wako.Mods huu ugoro umezidi kila kona
Unganisheni huu ujinga
Hamuwezi kumfanya loloteHamuwezi kumtetea bashite hata mjipangeje.
Ngoosha ana aina ya ukiraza wa aina yake.Ngosha hawezi mtumbua Bashite ni nyoka mzuri kwake
Tatizo sio kupata zero, tatizo unapata zero half unachukua vya wengine na kujifanya ulipta high grade kumbe zero oooooMjishauri kwanza ninyi
mnawezaje kuongozwa na ZERO!!?
Hawa hawana hojaBashite-gate ndo inaelekea kaburini.
Unless mtu aje ushahidi ulio solid labda ndo inaweza kupata uhai tena.
Ila bila solid evidence ndo basi tena. Bashite-gate is kaput.
Wewe jamaa ni mpuuzi sana, kupata zero sio uhalifu, kuchonga/kununua/kuiba cheti ni hatia.Kisha uje utuletee Madhara ya kumlinda
kiongozi mkuu wa chama ZERO kinacho jipambanua kuwa kisafi
Kabla hujamwambia jirani yako kwake pachafu
Anza kujiuliza wewe kwanini kwako Maskani ya Nzi!!
Hilooooooooooo!!!Hamuwezi kumfanya lolote
hata mjinyonge
ZERO alitaka kuwa Makamu wa RaisTatizo sio kupata zero, tatizo unapata zero half unachukua vya wengine na kujifanya ulipta high grade kumbe zero ooooo
Mwenyekiti wako wa CCM ndiyo analea huu ugoro mpaka sasa ameuacha ofisini.Mods huu ugoro umezidi kila kona
Unganisheni huu ujinga
Hilooooooooooo!!!
Lizomeeniii oooooooooooo
Makonda ndiye kiongozi wamkoa wa Dar es salaamHilooooooooooo!!!
Lizomeeniii oooooooooooo
Anzia kwako mkuuHuu nimewapa kama ushauri wa bure tu kwenu mkiita muupuuze ila mtakuja ona matokeo yake.
Mwenyekiti Wa cdm Anacheti?Mwenyekiti wako wa CCM ndiyo analea huu ugoro mpaka sasa ameuacha ofisini.