TAARIFA MAALUM
Usikose Ibada ya Jumapili 05/03/2017 katika Kanisa la Ufufuo na Uzima, lililopo jirani na jengo la Tanesco,
Ubungo, Dar es Salaam.
Kumbuka,mtumishi wa Mungu, Askofu Dr Josephat Gwajima atakuwepo akifundisha na kuwaombea wenye shida na matatizo mbalimbali.
Kama ilivyo ada ni miujiza itatendeka na mambo mengine makubwa yatafanyika.
Ibada itaanza asubuhi saa mbili kamili na Pia itarushwa live kwenye vituo vifuatavyo:
Rudisha Radio:
www.mixlr.com/rudisha-radio
Na YouTube Channel:
www.youtube.com/user/ufufuonauzima
JUMAPILI HII NI ZAIDI YA JUMAPILI ILIYOPITA