simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,694
- 9,580
Swali la kufoji vyeti ni zito kweli kweli siyo la kufumbiwa macho. Pamoja na watanzania stahiki kuporwa nafasi stahiki taifa linabebeshwa mzigo wa kutawaliwa na viongozi vilaza.
Kosa kubwa sanakwani kutumia cheti cha mtu ni kosa?
lete kifungu cha sharia kinachosema ni kosaKosa kubwa sana
Hapana siyo kosa mkuu, hasa ukiwa kiongozi wa serikali na kada wa chama pendwa kosa linajifuta automatically. Msamehe bure huyo hajui chama chenu kinavyoendeshwa.kwani kutumia cheti cha mtu ni kosa?
We bado una hayo tu!Hakuna yoyote mwenye tatizo na ukuu wa mkoa wa Makonda. Na pia kupata zero ni haki yake ya msingi kawa wenginei. Tatizo letu na Makonda ni shutma ya kutumia cheti na jina la mtu
Akiwa kama kiongozi na kinondoni cha jamii, hasa katika hii awamu ambayo wengi wamefukuzwa kazi zao Kwa sababu ya kugushi vyeti, Makonda lazima a atoe ufafanuzi wa haya maswala yenye utata
Nalazimika kuwa na hayoWe bado una hayo tu!
Kwa ukosefu wa Akili.Nalazimika kuwa na hayo
Kwa hiyo wachaga wanafurahia sio?Vita vya wenyewe kwa wenyewe Wakolomije vinaendelea.
Kesho kuna bonge la movie pale kanisani kwa Gwajima usijaribu kukosa
Ni kosa ndio. Alitakiwa atumie cheti cha mifugo au hata cha wanyama pori, lakini sio cheti cha mtukwani kutumia cheti cha mtu ni kosa?
Mwenye akili wewe ungemshauri Daudi Bashite ahache uhuni ajiuzuluKwa ukosefu wa Akili.
usiwatafutie balaaKwa hiyo wachaga wanafurahia sio?
Fundulukumunyulete kifungu cha sharia kinachosema ni kosa
Aanze Mbowe muuza unga anayezuwia asikamatwe wala kupekuliwa, na mkwepa kodi mkubwa, aliyeuza chadema.Mwenye akili wewe ungemshauri Daudi Bashite ahache uhuni ajiuzulu
Si kosa kwa baadhi ya watu ambao hawaelewi matakwa ya sheria. Watu waliofunikwa ushabiki. Kama wengine wametimuliwa kwa vyeti feki, iweje makonda ndo atetewe hivyo?kwani kutumia cheti cha mtu ni kosa?