Ishaligawa,sio italigawaHakuna yoyote mwenye tatizo na ukuu wa mkoa wa Makonda. Na pia kupata zero ni haki yake ya msingi kawa wenginei. Tatizo letu na Makonda ni shutma ya kutumia cheti na jina la mtu
Akiwa kama kiongozi na kioo cha jamii, hasa katika hii awamu ambayo wengi wamefukuzwa kazi zao Kwa sababu ya kugushi vyeti, Makonda lazima a atoe ufafanuzi wa haya maswala yenye utata
Itakuwa ni vigumu Kwa Rais kumfukuza mtu kazi ikiwa makonda ambaye anatuhumiwa na hata uraia wake kutiliwa shaka. Na hata ikibidi, wale waliofukuzwa warudishwe kwenye nyadhifa zao.
Kupata zero ni haki yake msingi . Tatizo ni udanganyifu. Makonda na hata Rais wasinyamazie....hii issue italigawa taifa
Mkuu gwajima yupo uraiani auVita vya wenyewe kwa wenyewe Wakolomije vinaendelea.
Kesho kuna bonge la movie pale kanisani kwa Gwajima usijaribu kukosa
hata kama upendi kucheka kwa jibu hilo murua lazima uchekeHapana siyo kosa mkuu, hasa ukiwa kiongozi wa serikali na kada wa chama pendwa kosa linajifuta automatically. Msamehe bure huyo hajui chama chenu kinavyoendeshwa.
Eh!!!!!!..kwani kutumia cheti cha mtu ni kosa?
naona ume fura,sio shaka wewe utakuwa mama makonda!Alimuibia mama yako or? Huyo unayedai kaibiwa amefungua Kesi wapi na lini?
kuna watu washafungwa, wako ndani hivi tunavyoongea kwa kosa kama la Bashite Albert. kwanini yeye aachwe, au kwasababu ni mtu wa pande hiyo hiyo.Hakuna yoyote mwenye tatizo na ukuu wa mkoa wa Makonda. Na pia kupata zero ni haki yake ya msingi kawa wenginei. Tatizo letu na Makonda ni shutma ya kutumia cheti na jina la mtu
Akiwa kama kiongozi na kioo cha jamii, hasa katika hii awamu ambayo wengi wamefukuzwa kazi zao Kwa sababu ya kugushi vyeti, Makonda lazima a atoe ufafanuzi wa haya maswala yenye utata
Itakuwa ni vigumu Kwa Rais kumfukuza mtu kazi ikiwa makonda ambaye anatuhumiwa na hata uraia wake kutiliwa shaka. Na hata ikibidi, wale waliofukuzwa warudishwe kwenye nyadhifa zao.
Kupata zero ni haki yake msingi . Tatizo ni udanganyifu. Makonda na hata Rais wasinyamazie....hii issue italigawa taifa
lisilo wezekana duniani CCM linawezekanaHapana siyo kosa mkuu, hasa ukiwa kiongozi wa serikali na kada wa chama pendwa kosa linajifuta automatically. Msamehe bure huyo hajui chama chenu kinavyoendeshwa.
Mwizi au kadanganyalete kifungu cha sharia kinachosema ni kosa
Watumie wanasheria wasomi sasa wakafungue shauri mahakamani...kama hata kifungu cha sheria mnakifaham mmesubiri nini kwenda kumshtaki kama serikali haimchukulii hatua????
Unafahamu kitu kinaitwa personation? Unataka vifungu wakati sheria huijui au ulitaka Section 371 ya Kanuni ya Adhabu imtaje Bashite kabisa?lete kifungu cha sharia kinachosema ni kosa