Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
Ebwana wee kweli quick mover....talk about MWANAKHAMISI nilisikia MUDI PANKI aliamua kuchukua jumla jumla wakati JULIE MZUNGU kaka yake LINA mzungu pale jirani na kwa majungu ndio hivyo tena...hivi bado wanaendelea kufuga nguruwe pale? Omari sico nasikia yuko unyamwezini wakati pale kwa akina MTWATA nasikia kumekuwa baaa....chili makubeli naye nasikia yuko London na mfaume kimario nasikia naye yuko Unyamwezini...unajua lile gorofa la kwa majungu lilikuwa linaitwa TITANIC kama lile gorofa la Mtikila kule karibu na shule ya Ushindi
Hilo la darusi kuwa GHAY au GAY bado nashindwa kuswallow maana maishani kwangu sijawahi kuona kijana wa kichagga ambaye kawa shoga na kwa kweli hata sijui lawama apewe nani...haya vipi akina CLAIRE na SHUBIRA wale watoto wa pilot jirani na kwa akina Darusi wapo? Unamkumbuka HAMIDU MACHUPA mdogo wake OSCAR? ebwana jamaa nilikutana naye Brazil japo watu Bongo wanajua yuko South Africa...na sikuhizi anaitwa DLAMINI! je unamkumbuka Abdallah Mwenda?
Back to topic:
Mbona hujaleta za akina Humphrey na Tibe? vipi ulionana na
Rose? mwanzo nilisema kuwa alikuwa anafanana na Faith Evans nilikosea...actually Rose alikuwa anafanana na Tisha Campbell wa kwenye ile comedy ya Martin
Aibu kubwa, hapa si mahali pa kukata michapo kama hii. Admin please do the needful.