Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,812
- 225,598
Huko IG ni kawaida yake kupost mafundisho mara kwa mara.Kibri kipi bwana ukweli chuki tu ukweli usemwe Kimaro Ndo habari ya mjini tukubali tukatae Mimi ujue sikosagi vipindi vyake nikipata nafasi anatia faraja yule anafundisha nadhani wameogopa anawaoutshine Sanaa viongozi
Kuhusu picha ni vitu vidogo tafsiri zao Ndo zao yeye ukute hamaanishi wanavomaanisha
Ni wivu tu hakuna lingine wanadamu wanaangalia kitu kidogo sana Ndo wanakibeba kuliko mema yake
Si wangesubiri amalize semina kama wao Wana hofu na Mungu kweli!mtu amejipanga halafu mnamkatisha palipo na riziki hapakosi fitna
KKKT wamefeli Kwa hili
Hata mimi huwa namfuatilia Bina,
Anaupiga mwingi mno.
Mungu kumuinua imekuwa nongwa.