mpe tu kwani anaibeba...at the end una mtaji wako sasa tatizo nini hapo!!Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Huyo dada ana ndoa, soma sheria ya ndoa, ukiishi na mwanamke kwa zaidi ya muda fulani, sijui ni miezi 3 au sita, huyo ni mkeo. Kwa maelezo ya dada, yuko kwenye ndoa, tena inayotambuliwa na sheria ya ndoa, kinachokosekana ni cheti cha ndoa.Na wewe usiwe mjinga,unajua maana ya ndoa!?? Usiseme hana ndoa. Huyu ana ndoa kamili lkn "Hajafunga ndoa" usichanganye kuwa na ndoa na kufunga ndoa,hivyo ni vitu viwili tofauti. Kanisani,msikitini au bomani huwa tunaenda kufunga ndoa. Yaani mnaenda kuifunga hiyo ndoa kisheria isivunjike. Kile Cheri cha ndoa unachopewa kanisani,ni mali ya serikali ndo maana unakilipia kwa sababu hata kanisa linanunua hivyo vyeti. Huwezi kufunga ndoa bila kuwa ndoa. Ndoa ni makubaliano ya watu wawili waliokubaliana kuishi pamoja. Hiyo ndiyo ndoa. Hakuna baraka yoyote unayopata ktk kufunga ndoa,ila unakuwa umeifanya hiyo ndoa yenu iwe ya kisheria. Yaani hata mwenzio akikuchoka aogope kile cheti.
Hata ukiwa na hela, mkeo kama ana akili ya kuliwa, kama humridhishi, ataliwa tuOya WANAUME tutafute pesa aisseh.
Cheki kisa mil 2 mke analiwa na pastor tena inawezekana pasta akapiga kavu bila hata ndom..
Mme angekuwa na hio mil 2 ya mtaji yote haya yasingetokea
Mpe tu ili mafundisho yakuingie uzuri kwa roho na papuchini....Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
njoo pmUsinifanyie hivi jamani
Njoo kwangu nitakupa 1.5mil buree kabisaYani apa sijaainisha vizr yeye nimesoma nae ni mkatoliki baada yakumaliza school alienda kusomeea ubrother na kisha kuusomea uuupadri kwasasa bado ata ajagraduet yupo nje.Ndipo nime mwomba anisaidie ila mwenzangu anaongelea mapenzi mxuuu.apa natafuta jinsi yakumpanga maana anamoto huyo.simpi papuchii yng nikishindwa kupata nnachotaka basi imeeisha iyo
Acha uchoyo...mpe mwenzio!Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Umenena vizuri sana!Kwanza awali ya yote nikupe pole kwa magumu unayopitia na uvumilivu ulionao. Kwa idadi ya watoto ulionao, ni dhahiri kuwa umeishi na huyo mwanaume kwa kipindi kisichopungua miaka 4. Nnachojiuliza ni kwamba inakuwaje mwanaume aliye na malengo na wewe kwa kipindi chote hicho akakosa/akashindwa kukutafutia hiyo 2M kwa ajili ya wewe kufanya biashara ambayo itawakomboa wote wawili ?. Kama ni kweli umedhamiria kufanya biashara na mwanaume wako ameshindwa kukupa, ushauri wangu ni kuwa huna mwanaume hapo. Jaribu kukopa hata kwa ndugu. Kwa ugumu wa maisha ulivyo sasa, tafuta hata watu 5 unao maanini kopa laki 4 kwa kila mmoja kuliko kumtumia mtu mmoja. Huyo mchungaji atakupoteza, unaweza usiishie tu kupata hiyo 2M, bali ukavuna fedheha maisha yako yote. Imagine upate gonjwa, imagine watu wajue umetembea na baba mchungaji? Fikiria umeanza biashara yako bado akaanza kukusumbua kwa kuja eneo lako la biashara kila muda na kutaka papuchi tena vinginevyo anataka hela yake. Fikiria aje baadae kuharibu hata furaha kidogo uliyonayo na familia yako ?
We mpe tu kwanza Wachungaji waonaekana dhaifu atakupiga tako 3 anakumwagia mbegu ila mmeo akijua ndoa haunaMm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Yaani sababu ni hiyo TU? Angekuwa sio mtumishi wa Mungu ungeigawa?Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.