Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,367
- 176,197
Kama nina pesa kidogo ya kuanzia?Hata mtaji tutakuuliza wewe uamini cha kuanzia..?
Kama nina pesa kidogo ya kuanzia?Hata mtaji tutakuuliza wewe uamini cha kuanzia..?
Wala hatukatai, mtambue tu kwamba hakuna pesa ya bure. You have to "work" to earn it!We mwenyewe unajua maisha bila pesa hayaendi ndio maana hata kanisani wanataka sadaka.
''.Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu'' umeonyesha kuwa ndo walewale bodaboda wanajimegeaga asee!
unaumalaya ndani yako kama ni mtaji akupe mzazi mwenzioMm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Kama nina pesa kidogo ya kuanzia?
Kumkopesha mtu pesa Tena kiasi hicho kwa kipindi hiki ni kutafuta matatizo na kuanza kununiana tu, maana hata mkikopwa kulipa hua inakua mbindeSawa nimekuelewa ila mm nilimwomba anikopeshe tu kama anayo nikaona amekubali sasa ndio yakaanza na mengien
Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
JamaniNdio lakini yaonyesha hana alichonacho ni papuchi.....ndio kianzio chake


"ukitaka kula sharti na wewe uliwe" By Jakaya KikweteMm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Hongera pasta popote alipo.Kama umeongea point vile![]()
Wacha kujidanganya nafsi yako. Huna mume. Eri nina "mume" lakini si wa ndoa. Wa ndoano?Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.