Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Akupe million 2 just like that. You must be joking. Kula, uliwe!Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Mwingine atakutafuna hata kwa hela ndogo zaidi. Umanyima kisa Mchungaji? Hayo mwachie yeye na Mungu wake!

