Mchungaji ananitaka, nifanyeje?

Mchungaji ananitaka, nifanyeje?

MI MTU AKINIAMBIA FULANI ANANITAKA, NIFANYAJE!
baada ya mwezi namuuliza game yake ilikuwaje!
WANAWAKE HUWA HAWAKOSI KUJUA CHA KUFANYA NA MWANAUME WASIYEMTAKA!!
 
Kama umeongea point vile

kapigwe p lako upewe hela endelea na safari!
Usitafute justification!
Kwanza umeanza na kukana your status! (manake unataka tukupe go ahead)
Pili unakimbilia sababu ya kukataa kuwa ni Mtumishi!
WOMAN!!!!!!!
mi sio mtumishi ila SIHITAJI KUTOA SABABU KWANINI SIMTAKI MWANAUME ANAYENITAKA!
ukiona unatoa sababu za mi simtaki kwa kuwa NI MKE WA MTU! OH MI SIMTAKI KWA KUWA NIMEOKOKA!
ujue huna SELF WORTHY! huna!
ambayo ni mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaya zaid ya kuliwa na huyo pastor!
 
Bila shaka ni Gwajima huyo, si umeona mambo yake! Muonjeshe tu!
 
kapigwe p lako upewe hela endelea na safari!
Usitafute justification!
Kwanza umeanza na kukana your status! (manake unataka tukupe go ahead)
Pili unakimbilia sababu ya kukataa kuwa ni Mtumishi!
WOMAN!!!!!!!
mi sio mtumishi ila SIHITAJI KUTOA SABABU KWANINI SIMTAKI MWANAUME ANAYENITAKA!
ukiona unatoa sababu za mi simtaki kwa kuwa NI MKE WA MTU! OH MI SIMTAKI KWA KUWA NIMEOKOKA!
ujue huna SELF WORTHY! huna!
ambayo ni mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaya zaid ya kuliwa na huyo pastor!
Finally, uzi ufungwe sasa!
 
Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.

Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.

Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Ushauri wangui kwamba, mumeo akutafutie hiyo hela ya mtaji acha kumuomba Mchungaji.

Asante.
 
Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.

Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.

Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
hivi nyie wanawake huwa humuelewi tuu jamaani mnachosha...mtu ataekupa pesa ya bure ni wazazi wako tuu na kaka zako wengine hawa inabidi ulipie.......its called law of supply and demand ewe huna pesa unatake pesa utapata yeye hana papuchi na wewe mpe...
 
Wewe mpe lkn hakikisha unapata video kali kama za gwaji boy kisiri alafu inakuwa ndio silaha yako ya kuchukulia hela kila cku ukimtishia kuzivujisha
 
Sikiliza dada,
wewe huna mume,ungekua na mume mngefunga ndoa,huyo uliezaa nae ni bwana tu mmezini akakuzalisha,kwa hiyo hata pasta akikutaka sawa tu,kwa kuwa si mke wa mtu,je jamaa akikataa kukuoa?.
Wajuzi waje wanikosoe kwa ukweli niliokwambia.
Toa andiko kwenye biblia nzima linaoonesha kuwa mtu asipofunga ndoa na mwanamke wake anayeishi nae basi anazini.

Pili toa andiko kutoka kwenye biblia linaloonesha maelekezo kwa wanadamu kufunga ndoa kanisani.

Tatu, toa hata mfano wa mtumishi yeyote kutoka kwenye biblia ambaye alipotaka kuoa alienda kufunga ndoa kanisani, ambapo na sisi tunatakiwa kuchukua mfano wake.

TUSIDANGANYWE NA WACHUNGAJI! Ukishakubaliana na wazazi wa mwanamke na ukalipa mahari mke anahamia kwako na anakuwa mkeo kihalali kabisa. Hakuna dhambi ya kuzini hapo.

Tunaaminishwa na kanuni za makanisa ili tulazimike kwenda kwa wachingaji. Tunatishana hapa. Lete andiko hapa.
 
Sundoka,
Dini zipo nyingi, Luna Dino zaidi ya elfu moja duniani na kila Dino INA taratibu zake katika mambo ya ndoa,mfanno WA Dino ni Islam,Christian, Hindu,Buddha,Shinto,na zinginezo ambazo sijaziorodhesha hapa.
Kwa imani ninnayoamini Mimi,ukikaa na mwanamke bila ya kupata baraka za viongozi WA Dini ni dhambi na unazini,labda kwa Dino zingine.
Kwa hiyo hapa tuna shindana kwenye imani tofauti,
Usifikiri Dino ni Christian tu.nenda nje ya boksi kwanza ndio tuweke mjadala mpana.
 
Unadhani kwa mini pasta alimuomba papuch,?
Kwa kuwa alijjua hawajafunga ndoa na mumewe simple like that
 
Sikiliza dada,
wewe huna mume,ungekua na mume mngefunga ndoa,huyo uliezaa nae ni bwana tu mmezini akakuzalisha,kwa hiyo hata pasta akikutaka sawa tu,kwa kuwa si mke wa mtu,je jamaa akikataa kukuoa?.
Wajuzi waje wanikosoe kwa ukweli niliokwambia.
Mke wa mtu anakuwaje? Yaani watu wanaoana hadi wanazaa unasema hawajaoana? Mnathamini vikaratasi vya kwa Dc ndo mnaona ni halali? Mitume walikuwa na vyeti vya ndoa?
 
Kwaiyo kama asingekua mtumishi wa mungu ungetoa iyo papuchi ili upate milion mbili?
 
Mke wa mtu anakuwaje? Yaani watu wanaoana hadi wanazaa unasema hawajaoana? Mnathamini vikaratasi vya kwa Dc ndo mnaona ni halali? Mitume walikuwa na vyeti vya ndoa?
Hawajafunga ndoa,mwenyewe kasema sio Mimi,nimemnukuu tu,soma bandiko lake mwanzoni ndugu
 
Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.

Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.

Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Nasikitika kusema kuwa, WaChungaji wanafaido sana hawa
 
Back
Top Bottom