Ukiwa unaandaika punguza munkari kidogo!!Hivi umewasa nini? Unataka mil 2 yake, papuchi yako hutaki kumpa? Basi Fanya kazi kwa bidii upate hela yako use huru.
Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Upo sahihi kabisa huyu dada ni akina mwajuma tu wanaoanga na kuzalishwa nje ya ndoaSikiliza dada,
wewe huna mume,ungekua na mume mngefunga ndoa,huyo uliezaa nae ni bwana tu mmezini akakuzalisha,kwa hiyo hata pasta akikutaka sawa tu,kwa kuwa si mke wa mtu,je jamaa akikataa kukuoa?.
Wajuzi waje wanikosoe kwa ukweli niliokwambia.
Kukutaka tu huku akijua fika wewe ni mke wa mtu kunamuondolea sifa ya kuwa mtumishi wa Mungu. So, kama sababu pekee ya kumnyima ni hiyo, imeshakosa mantiki. Halafu, kwa usawa huu wa Dr mwanaume akupe bure tu hizo MM mbili? Ingawa mpaka hapo nimeshaanza kumuonea buruma mumeo
Mchunga mbuzi akupe 2M!!???Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Kwanza hujaelewa. Watoto wawiili bila ndoa nyakati hizi kuachana Ni 89%.
Kama angekuwa sio mchungaji ungeweza kumpa Basi mpe tu endelea kudanga usiogope.
Ila wanawake tunajua kujitolea mtu hawezi kukuoa, mtaji wa milioni 2 hawezi kukupa na umemzalia watoto 2.
ndo memwambia asituchoshe!Ukiona mwanamke anashare kitu kana hiki jua kashaliwa... Hapa anataka tu mitazamo yenu... Je itasapoti aliwe ili nafsi yake isimsute kwamba alikuwa sahihi kuliwa au mtakuwa negative....ili asigawe tena K.....
Ukweli ni .... KASHALIWA
Mpe mara moja nawew x unachukua m2 mara moja au unampango wa kuwekeza maombi ya mtajiMm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Kwa hiyo angekuwa bodaboda usingeleta uzi hapa. ungetoa papuchi ki roho safi.Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
mtumishi wa Mungu wewe au mchungaji???Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.
Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Wekeni unafiki pembeni kwenye uzi wake huu,kwa nini wote kasoro mimi,mliochangia mnakua wanafiki,
huyo sio mke wa mtu,hakuna mke bila ya ndoa,mwambieni ukweli huyo ni kimada wa mtu,hata pasta akiomba poa tu..