Mchungaji ananitaka, nifanyeje?

Mchungaji ananitaka, nifanyeje?

hahahha dah, kwahiyo anataka papuchi for 2m mpe tuu then ndio mnakua mmemalizana kihivyo tuu.
 
Wanawake wasiku hizi bwana!!! Sasa unafikiri utampa k.u.m.a mara moja tu? Kwa millioni 2 yake aliyo kupa? Jiandae kuitumikia iyo Pesa.
 
Ulitarajia dhamana iwe nini katika mkopo huo....?
Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.

Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.

Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
 
Njoo pm
Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili nina Mume ila pia si Wandoa japo tuna mpango wa kufunga ndoa.

Nina rafiki yangu ambae ni mchungaji nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kanihakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi; yani nimechoka.

Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki. Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
 
mbona umemsaliti baba watoto wako kwenye kipengele cha kutokufunga ndoa fanya utakalo penda moyoni ila usimfunge kwenye hicho kifungo cha kutokufunga ndoa kama umeishi naee mpaka watoto wawili leo unakuja kuomba ushauri na kiweka hicho kipengele ili upate mawazo negative utakayo yaona mazuri na kwenda kutekeleza azimio lako kaa chini jitafakati kama mtaji tafuta ila usimuweke mtu mwingine ambae hana hatia
 
Kwani nani kakwambia wachungaji wanatoa mikopo si uende kwenye microfinance au benki wanazotoa mkopo ukachukue bila kutoa papuchi, dunia ya sasa huwezi pata kitu bila kutoa kitu mpe tu kitumbua mchungaji mana ikishindikana mpe papuchi mumeo hili akupe 2milion
 
unataka kuzini na mchunga kondoo wa bwana? Mkumbushe majukumu yake.
 
Wote mmekutana Wazinzi, Na huku utapata mawazo ya kukuunga mkono toka kwa wazinzi vilevile. Kaa mkao wa kula uliwe sasa.

Ndio maana Quraani inakuasa USIKURUBIE ZINAA na Biblia ikaongeza IKIMBIENI ZINAA.

Sasa wewe huku unatafuta mawazo ya kujadili zinaa?!
 
Back
Top Bottom