Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Jamani,
Bro katoka Uingereza na mchumba wake, wote ni Watanzania na wameenda ughaibuni mwaka 2010 wakiwa ma boyfriend na nyumbani wakiwa hawamjui huyo binti.
Juzi usiku wameingia Tz kwa ajili ya kutambulisha uchumba wao na mapumziko ya Xmas.
Leo usiku kulikuwa na sherehe ndogo ya utambulisho, baada ya utambulisho binti akaliwasha li Malboro lake.
Moshi nyumba nzima, kwa aibu mama akamuambia tunaomba ukavutie nje, sisi huku Tanzania hatujazoea kuvutia sigara ndani.
Bro katoka Uingereza na mchumba wake, wote ni Watanzania na wameenda ughaibuni mwaka 2010 wakiwa ma boyfriend na nyumbani wakiwa hawamjui huyo binti.
Juzi usiku wameingia Tz kwa ajili ya kutambulisha uchumba wao na mapumziko ya Xmas.
Leo usiku kulikuwa na sherehe ndogo ya utambulisho, baada ya utambulisho binti akaliwasha li Malboro lake.
Moshi nyumba nzima, kwa aibu mama akamuambia tunaomba ukavutie nje, sisi huku Tanzania hatujazoea kuvutia sigara ndani.