Mchomvu 'mabangi' anapoonesha mabange yake

Mchomvu 'mabangi' anapoonesha mabange yake

Hakuna aliyekosea pale wote wametufurahisha
Imagine ile shughuli ingeisha bila dosari waandaji wangejiona wamekamilisha kwa ubora wa 100%

Ila sasa hivi wana “tungejua” nyingi tu


Mnastahili pongezi Adam na Mchomvu mmecheza part zenu vyema kabisa, uzuri hakuna aliyemwaga damu, kilichomwagika tu ni heshima zenu( kama mnazo lakini[emoji847]) na za hao mabwana kijani waliowakodi[emoji847][emoji847][emoji847]

Tunashukuru!
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshana Jr,

Tunaishangaa CCM ya siku hizi kuwatumia wavuta bangi na wahuni “kuvutia“ siasa au sera za CCM.

Yeyote ndani ya CCM aliyeratibu ujinga huu ni mwepesi sana kioganazesheni na kiuenezi.

Ujinga mtupu ku deal na watu ambao basically ni wahuni wa mitaani.
 
Wavuta bange wana matatizo sana.

Sugu juzi kampiga mkwara afisa wa polisi, kilichofuatia wote tulikiona!
Vichaa Waokota makopo kila wanapo liona kopo lazima waliokote!!
Tofauti yako na wao ni ndogo sana huwezi kufikiri bila kuwaza chadema huwa unapata usingizi Kweli!? Tafuta ma Dr wakutibu huo ugonjwa!
 
Mtumishi mlevi apigwa na Mabhangi[emoji23]
Asilimia kubwa ya wasanii kabla hawajapanda stejini wanajipasha kwa bangi na pombe sio Jambo la kufichika nadhani Kama umewahi kukaa backstage ya fiesta utakuwa shahidi, matukio kama hayo yanaletwa na msukumo wa Kitu alichokitumia na sio akili zake!

Kwetu Ni furaha kwa mchomvu na Mbasha kuizima Kiki za SISIEMU manake ingekuwa inazungumzwa Sana leo ila walio-trend Ni wao.
#NIYEYE[emoji3577]
 
Ingekua B Dozen katamka yale maneno unadhani Adam angemkata mtama?

Ema hana urafiki na Adam wa kutosha kumtania vile. Kwangu mimi alichofanya Adam ni sawa, ni somo kwa wote wanaolazimisha urafiki na kujifanya wanajua watu.
 
Mchomvu kafanya jambo la kawaida sana kwa wavuta jani na watafuna mbegu.

Ndio maana nikakupa mfano wa nyumbani ili uone alichofanya Adam ni cha mtoto ......japo najua unachomaanisha nyuma ya pazia ni zaidi ya Adam.
Usinifokee...!
 
Wabongo bana huyo mbasha sijui basha kabutuliwa na mchovu ajabu lawama inapewa bangi hivi bangi ilishawafanyia nini? yahani mnataka kusahau kua huyo mchovu ni binadamu na yeye anamihemuko kama watu wengine, Kama huyo mbasha mwenyewe alishindwa kutumia busara iweje mwenzie atumie busara.

Tatizo wabongo tunakosa mambo ya msingi ya kujadili ndio mahana vitu vya kipuuzi kama hivi vinakua habari, juzi Kati hapa mlikua mnapiga kelele za Uchebe na shilole, leo hii naona mchomvu na basha wamekua topic.

Halafu acheni kabisa kuhusanisha bangi na ujinga unaofanywa na watu kwa hulka zao za kibinadamu, sisi bangi ni sehemu ya ibada kabisa na kuna watu wengi wanavuta bangi wanafanya mambo makubwa kwenye jamii zao mbona hua hamuhisifii bangi au linapotokea jambo baya ndio bangi huonekana
 
Wabongo bana huyo mbasha sijui basha kabutuliwa na mchovu ajabu lawama inapewa bangi hivi bangi ilishawafanyia nini? yahani mnataka kusahau kua huyo mchovu ni binadamu na yeye anamihemuko kama watu wengine, Kama huyo mbasha mwenyewe alishindwa kutumia busara iweje mwenzie atumie busara.

Tatizo wabongo tunakosa mambo ya msingi ya kujadili ndio mahana vitu vya kipuuzi kama hivi vinakua habari, juzi Kati hapa mlikua mnapiga kelele za Uchebe na shilole, leo hii naona mchomvu na basha wamekua topic.

Halafu acheni kabisa kuhusanisha bangi na ujinga unaofanywa na watu kwa hulka zao za kibinadamu, sisi bangi ni sehemu ya ibada kabisa na kuna watu wengi wanavuta bangi wanafanya mambo makubwa kwenye jamii zao mbona hua hamuhisifii bangi au linapotokea jambo baya ndio bangi huonekana
Aisee..ila CCM wana laana ,inawezekana kuna damu zinawalilia aisee,tamasha muhimu kama hili,wajitafakari watubu..
 
Mm binafsi naona mbasha alitania tu, ni utani wa kawaida hata mm sometimes naweza mwambia mshkaji "acha bangi" au kumwambia mtu 'hizo bangi sasa"

Mchomvu matendo yake ndio yaanadhihirisha bangi sasa! Brand ya jina lake ameitengeneza 20 yrs sawa! Kupigana jukwaani ndio kunamjengea jina!? Tena ametuonyesha watanzania wote kuwa yeye ni bangi kweli
 
Back
Top Bottom