[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna aliyekosea pale wote wametufurahisha
Imagine ile shughuli ingeisha bila dosari waandaji wangejiona wamekamilisha kwa ubora wa 100%
Ila sasa hivi wana “tungejua” nyingi tu.
Mnastahili pongezi Adam na Mchomvu mmecheza part zenu vyema kabisa, uzuri hakuna aliyemwaga damu, kilichomwagika tu ni heshima zenu(kama mnazo lakini[emoji847]) na za hao mabwana kijani waliowakodi[emoji847][emoji847][emoji847]
Tunashukuru!
Brother jitendee haki basi kwa kuacha kuingia kwenye mkumbo wa kupoteza muda wako kusoma kisha kuchangia upuuziWabongo bana huyo mbasha sijui basha kabutuliwa na mchovu ajabu lawama inapewa bangi hivi bangi ilishawafanyia nini? yahani mnataka kusahau kua huyo mchovu ni binadamu na yeye anamihemuko kama watu wengine, Kama huyo mbasha mwenyewe alishindwa kutumia busara iweje mwenzie atumie busara.
Tatizo wabongo tunakosa mambo ya msingi ya kujadili ndio mahana vitu vya kipuuzi kama hivi vinakua habari, juzi Kati hapa mlikua mnapiga kelele za Uchebe na shilole, leo hii naona mchomvu na basha wamekua topic.
Halafu acheni kabisa kuhusanisha bangi na ujinga unaofanywa na watu kwa hulka zao za kibinadamu, sisi bangi ni sehemu ya ibada kabisa na kuna watu wengi wanavuta bangi wanafanya mambo makubwa kwenye jamii zao mbona hua hamuhisifii bangi au linapotokea jambo baya ndio bangi huonekana
umeongea point kbs waache kuhusisha ganja na mambo ya kijingaWabongo bana huyo mbasha sijui basha kabutuliwa na mchovu ajabu lawama inapewa bangi hivi bangi ilishawafanyia nini? yahani mnataka kusahau kua huyo mchovu ni binadamu na yeye anamihemuko kama watu wengine, Kama huyo mbasha mwenyewe alishindwa kutumia busara iweje mwenzie atumie busara.
Tatizo wabongo tunakosa mambo ya msingi ya kujadili ndio mahana vitu vya kipuuzi kama hivi vinakua habari, juzi Kati hapa mlikua mnapiga kelele za Uchebe na shilole, leo hii naona mchomvu na basha wamekua topic.
Halafu acheni kabisa kuhusanisha bangi na ujinga unaofanywa na watu kwa hulka zao za kibinadamu, sisi bangi ni sehemu ya ibada kabisa na kuna watu wengi wanavuta bangi wanafanya mambo makubwa kwenye jamii zao mbona hua hamuhisifii bangi au linapotokea jambo baya ndio bangi huonekana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni mtu mwenye ujuaji juaji Fulani hivi tena ujuaji wenyewe wa kiboya.Mshana bhana..huwa hakuna linalotrend akaacha kulifungulia uzi
Mwanasimba kuiwaza Yanga ni jambo la kawaida sana.Vichaa Waokota makopo kila wanapo liona kopo lazima waliokote!
Tofauti yako na wao ni ndogo sana huwezi kufikiri bila kuwaza chadema huwa unapata usingizi Kweli!? Tafuta ma Dr wakutibu huo ugonjwa!
Sikatai lakini kwa impression hiyo Mchomvu alikuwa na dhima kubwa ya kuonesha weledi, hekima na uwajibikajj kazini...Mchomvu nampa excuse alimvumilia sana yule Mbwa Mbasha, maana Mbasha ndiye alioongea kilevi na kiubangi ebu rudia tena na tena ongea ya Mbasha pale stage siyo ya mtumishi mwenye utimamu ni muhimu ubalance kwa kuchakata pande zote. Mbasha alizingua sana sana
Binafsi niliona Mbasha kaongea katika namna ya utani pale(kishkaji)
Lakini hatuwezi kujua labda kuna sehemu kadhaa tofauti na pale walishakwaruzana...Mchomvu anatakiwa kujifunza namna ya kupotezea mambo yasiyo ya msingi,alichokifanya kinaweza kushabikiwa na baadhi ya watu lakini amejiharibia
Sema video inachekesha pale Mbasha alivyoamka baada ya mtama akasema oyooooo Mchomvu umezingua!!
Hahahaaaa! Hao ndio wajumbe wa CCM mpya bhana!Usinifokee...!
Wala hajakuhukumu, ispokuwa kasema ukweli.Umenihukumu kwa makosa makubwa kabisa ..ni mangapi yametokea na sijaandika chochote hapa!?
Matukio ya Hai Arusha na Mbeya yote yametrend sijaandika chochote..kuandika hili imekuwa kosa?
Darmian pls think twice...
Kwa aina ya mtangazaji hasa wa burudani nampa excuse Mchomvu kabsa alimvumilia sana imagine mtu akutusi then aenze kukuvuta vuta na wadau tumeona kbsa namna Mchomvu ila hali hakutaka hata kuguswa mwilini. Napendekeza aliyemhoji Mchomvu na media zingine wawe wasuluhishi hata mbele ya cameraSikatai lakini kwa impression hiyo Mchomvu alikuwa na dhima kubwa ya kuonesha weledi, hekima na uwajibikajj kazini.
Makosa mawili hayafanyi Jambo kuwa sahihiMnaosema Adam kakosea mnakumbuka Zidane alichokifanya kwa Materazzi kwenye fainali za kombe la dunia 2006. Chanzo chake hakina tofauti na chanzo cha mbasha. Kumvunjia mtu heshima mbele ya hadhara si jambo jema, ukuzingatia hadhara yenyewe hadi Rais wa nchi yupo anatizama. Nina imani hata Mh. Magu kimoyo moyo amesupport uamuzi wa Adam. Majina ya watu maarufu ni Brand jitahidi kuyaheshimu haswa unapokua mbele ya Hadhira, ila kama mko chobingo huko vichochoroni utani ruksa.