Mchina aliyepata "A" tisa NECTA

Mkuu Barbarosa,kumpinga mtu au kupinga kitu au kuwa na mawazo tofauti kumbe ni IQ ndogo?
Pole sana kijana,siasa inakuharibu kijana.


Hapana! Kupinga au kukubaliana na jambo ni sawa kabisa ila swala linakuja unachokipinga au unachokikubalia hapo ndipo uwezo wa kufikiri na kutatua matatizo unapooingia, kwa mfano ni kama vile leo hii Raisi wa nchi asema watoto kike marufuku kwenda Shuleni kwa sababu kazi yao ni kuwa mama na kulea watoto, sasa utaona kwamba watakao kubaliana Raisi kwenye hili na kuanza kubisha wana matatizo ya kuweza kuelewa na kufikiri vizuri kwa kifupi ubongo hauwezi kuprocess information wanazozipata vizuri na kuweza kuoanisha matukio ukilingansha na wale ambao watampinga Raisi, hivyo kupinga au kukubaliana ni sawa lkn inatengemea unapinga nini na kwenye swala hili la sukari anayempinga Raisi ni kwamba uwezo wa Ubongo wake kuprocess information ni mdogo na hakuna kitu mtu unaweza kufanya ni kwamba yuko hivyo inabidi ukubali tu!
 
Tuko Pamoja ndugu yangu lakini nadhani pia na mazingira ya shule ya fedha hayafanani na watoto wetu wa shule za kata, matokeo ya vijana wetu ukilinganisha na mazingira halisi wanayosoma na kuishi havifanani. Tuwapongeze waliofaulu vizuri lakini pia tusiwabeze vijana wetu kwani hali halisi ya shule zetu tunaifahamu.
 
ana haki ya kufaulu, hiyo feza girls sio mchezo, laziam uwe na 'feza' kusoma hapo feza...
 
Kama kipimo chako cha IQ ya mtu ni kule kukubaliana na kila jambo bila kudadisi au kutoa mawazo na fikra tofauti, basi wewe sio tu una IQ ndogo, bali ni mpumbavu wahedi!!
 


Hivyo uliyosema na ndiyo hoja kubwa ya watu wengi wanaopinga matokeo ya Bell curve wengi wanasema kama wewe kwamba IQ inategemeana zaidi na mazingira na siyo urithi, yaani kinacho mtofautisha mtoto mmoja na mwingine ni mazingira aliyokulia na siyo uwezo wake wa kiakili wa kuzaliwa, binafsi niko kati kati ya hawo watu wawili lkn mwisho wa siku huyo binti bado nampa

RESPECT!
 
Kama kipimo chako cha IQ ya mtu ni kule kukubaliana na kila jambo bila kudadisi au kutoa mawazo na fikra tofauti, basi wewe sio tu una IQ ndogo, bali ni mpumbavu wahedi!!


Tofauti kati ya kuwa IQ ndogo na mpumbavu wahedi ni ipi?
 
Nilirukia kusoma nikajua point kumbe ni walewale wa LUMUMBA B7FC,nimepoteza MB zangu buuuuure
 
Uko sahihi ndugu na umeleta hoja nzuri ambayo kama taifa ni vyema kuitafakari kwa mustakabali mwema wa taifa letu.
 
ttzo ume changanyanya mafail swala la IQ na swala la sukari haviendani apo ndio una dhihirisha IQ yako ni ndogo pia
 
Tuacheni utani wachina ni wagumu sana kuelewa huyo mchina ni genius tu kazaliwa hivyo.. Mimi nimesoma na wachina nchi za nje ni vilaza hatari. Wao wataluburuza tu kwenye Hesabu basi ..

Hawatubuluzi kwny hesabu peke yake!
Kuanzia kwny Ujenzi wa Barabara, Madaraja, kuuza mapazia,Maua, kutia mimba watoto watu n.k. Hata kwenye kusafirisha Meno ya tembo wetu pia wanatubuluza
 
Kama hata humu JF Kiswahili tunakikosea kwa 90% tutawezaje kufauli mtihani. Mfano haoni = aoni
 
dawa yake na ss twende China na kupata A ya kichina
 
MTANZANIA MWENYE ASILI YA CHINA????? HII SENTENSI HUWA INANIPA UKAKASI KIDOGO SAWA NA ILE YA MTANZANIA MWENYE ASILI YA INDIA.... MCHINA NI MCHINA TU, MUHINDI NI MUHINDI TU... KUJUA KISWAHILI SI HOJA KWAMBA NDIO APEWE UTZ... KWANZA ANGALIA SHULE ALIYOSOMA NA THE WAY ANAVYO TREATIWA NI TOFAUTI NA YULE MTOTO ANAYEISHI KULE NANYUMBU NA NAMTUMBO NDANINDANI HUKOOO..... LEVO ZA MAISHA NI TOFAUT KABISA YANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…