Mchepuko unaolewa

Mchepuko unaolewa

Mkuu labda niulize walio oa...


Teh teh....

Kwani waliooa wote wana michepuko?

Nimekwambia kuwa hili swali halijibiki....sana sana utapa maoni ya mtu binafsi.

Mie kabla ya kustaafu ningesema kuwa vitamika vyote kutegemeana na wakati husika. Huyo ni Babu DC!!
 
Yaani mie nawaangalia tu.

Laiti wangejua kwamba enzi zetu kazi ya kutafuta mke haikufanywa na watoto.

Unajua enzi zetu hatukuwa na hiki kitu kinaitwa "semina za ndoa" kabla ya kufunga ndoa. Siku hizi kama huna cheti cha kuonyesha umehudhuria semina ya ndoa, ndoa haifungwi.

Mzee mwenzangu umeona hii tofauti??

Kadiri tunavyoenda mbele mambo yanazidi kwenda mrama. Namshukuru Mungu sikuzaliwa enzi hizi.

Nyie wazee wazinguaji tuu, maana mmetutekeleza, nyie wazee wenu walikuwa wanawapa hizo semina ila nyinyi mmeshindwa kabisa kuweka utaratibu wa kuwarithisha vjana hayo mafunzo
 
Nyie wazee wazinguaji tuu, maana mmetutekeleza, nyie wazee wenu walikuwa wanawapa hizo semina ila nyinyi mmeshindwa kabisa kuweka utaratibu wa kuwarithisha vjana hayo mafunzo

Hebu tafuta muda upitie thread za MMU za miaka ile halafu uje utueleze kama lawama zako ziko sahihi!
 
Hakuna jibu wala nini....

Mambo ya michepuko ni mtambuka na kizungumkuti....Watoto na vijana hawawezi kutuelewa ila wakikua watajua!!

That's how I can put it!

"What an old man sees while seating, a young man cannot see while standing"
 
Eti nini?

Kawaulize wazee halafu uje utupatie mrejesho....!

I'm serious Chief. Mifano hai pia iko mingi sana. Tuna different tastes, qualities, upbringing, mazingira, maadili. The so called wife material kwa A, anaweza kuwa smash or even pass kwa B, and vice versa.

Mnenguaji anaweza kuwa na vigezo navyovihitaji kwa mke, zaidi ya muimbaji wa injili.
 
Well, SirBonge usisahahu kupiga cha mwisho cku ya harusi yake wakati anaenda saloon!
 
Last edited by a moderator:
Si mnasemaga kucheat ni nature yenu eti. Kwa hiyo hata mle hadi mvimbiwe majumbani kwenu, mtafika barabarani mtamani juice ya ukwaju tena mwee

hivi unaamini kweli mwanaume ukimtosheleza anaweza kucheat?
 
Khaa kwani huwa mnatosheka? Mweew

daima Ukiona mtu anathamini Uchungu Wa Bia na Kudharau Utamu wa Juice mwangalie vizuri na katika kiwango cha Mwisho cha Utizamaji... Huwezi kuacha kuogelea kwenye bwawa ulilolijenga kwa Gharama zako kisha kwenda kuogelea kwenye bwawa ambalo hutumiwa hata kwa kunywesha mifugo... Kuweni na Adabu katika hilo
 
daima Ukiona mtu anathamini Uchungu Wa Bia na Kudharau Utamu wa Juice mwangalie vizuri na katika kiwango cha Mwisho cha Utizamaji... Huwezi kuacha kuogelea kwenye bwawa ulilolijenga kwa Gharama zako kisha kwenda kuogelea kwenye bwawa ambalo hutumiwa hata kwa kunywesha mifugo... Kuweni na Adabu katika hilo

Adabu tunayo sana shemeji. Nyie watu mnatushangazaga hadi basi, mnaachaga assets ndani afu mnaenda kuokota hizo liabilities hadi tunaishia kuwaombea tu
 
Adabu tunayo sana shemeji. Nyie watu mnatushangazaga hadi basi, mnaachaga assets ndani afu mnaenda kuokota hizo liabilities hadi tunaishia kuwaombea tu

shemeji Ukiona mtu anamuacha binti mrembo na Mtamu kama wewe kisha Anakwenda kupiga mbizi kwenye mto msimbazi basi Huyo atakuwa na Akili ovyo
 
shemeji Ukiona mtu anamuacha binti mrembo na Mtamu kama wewe kisha Anakwenda kupiga mbizi kwenye mto msimbazi basi Huyo atakuwa na Akili ovyo

Mmh mbona naachika vizuri tu teh. Shem nyie bana sometimes me nakosaga hata cha kusema. Mnajijua wenyewe
 
Back
Top Bottom