Mchepuko unaolewa

Mchepuko unaolewa

Hamuwezi wote tukajitambua siku moja, tunawaombea na wengine wazidi kujitambua

kujitambua sio kwa kuamua kubaki katika kuamini kuliko vitendo.. Mwanamke Mzuri na Muelewa ni YuLe Anayepima kila neno na Kuchukulia kila Tendo kwa Uzito wa juu.. Huwezi kujitambua ikiwa Huna Maamuzi katika muongozo wa Kile Unachokiamini. Lawama kwa sisi Wanaume hazitakwisha kwa kuwa bado mnataka wenyewe kuchezewa
 
Huwa inauma saaaaaana na si kidogo jamani daaaah!!! Ni kuvumilia tu hamna namna ingine
 
kujitambua sio kwa kuamua kubaki katika kuamini kuliko vitendo.. Mwanamke Mzuri na Muelewa ni YuLe Anayepima kila neno na Kuchukulia kila Tendo kwa Uzito wa juu.. Huwezi kujitambua ikiwa Huna Maamuzi katika muongozo wa Kile Unachokiamini. Lawama kwa sisi Wanaume hazitakwisha kwa kuwa bado mnataka wenyewe kuchezewa

That sums up what I wanted to say. Tatizo wanawake wengi hawajitambui siku hizi
 
Kama vile umeandika hii thread kwa ajili yangu! I'm in exactly similar situation. Mchepuko wangu ulonifundisha vitu adimu umepata mchumba.Aliniarifu kwenye simu akawa anabanwa na kwikwi anashindwa kuongea sawasawa. Nikamwambia it's ok, endelea na maisha yako dada, ila rohoni inauma kweli aisee!

You are very right man to have done what you did 'cause we should never be barriers to other people's path of life.

wa kwangu kaolewa ila siku kabla ya harusi akanitext naolewa ila mapenzi yote kwako na anataka tuendelee. na bado naletewa papuchi. haya maisha ya ndoa noma sana.
 
wa kwangu kaolewa ila siku kabla ya harusi akanitext naolewa ila mapenzi yote kwako na anataka tuendelee. na bado naletewa papuchi. haya maisha ya ndoa noma sana.

Wallah hii ni kali mwaka
 
(wa kwangu kaolewa ila siku kabla ya harusi akanitext naolewa ila mapenzi yote kwako na anataka tuendelee. na bado naletewa papuchi. haya maisha ya ndoa noma sana)

Kwa Tanzania kuolewa hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kupendana na sio lazima iwe hivyo. Mtu anaweza kuolewa na asiyempenda kwa asilimia 100.

Ndoa,pesa na kutoshelezwa ni vitu vitatu tofauti na vinaweza kuhusisha watu watatu tofautiikiwa havipatikni kwa mtu mmoja.
 
Mzee wa msoga Alilia aliposikia wanawake na maendeleo anataka kuolewa
 
dunia ndio ilivyo wala usiumie coz hata ww utakuwa umeoa mchepuko wa mwenzako
 
Let her go but, but mhh ila wallau kisima cha kale hakifukiwi ama The pumpkin in the old homestead. Must not be uprooted
 
Back
Top Bottom